zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,261
- 3,909
Kaka mimi mgeni hapa JF,
hebu nifahamishe house girl wa hawara wapi hapo? maana hii kali na mpya kwangu!
Wewe utawaona humu wenye hasira, ujuwe kiongozi wao ana hawara tena ni mke wa mtu zilishushwa shutuma hapahapa JF kuwa analipiwa mpaka hausigeli na chadema na pia walisema analipiwa mpaka walinzi wa kanisa na chadema. Nnakuhakikishia huyo ni hawara kwani iliripotiwa humu kuwa bado alikuwa ana kesi ya kudai talaka, kawa jina anaitwa Josephine mashumbusi na ni hawara wa Dokta wa kanoni Slaa, Katibu Mkuu wa chadema na amesha zaa nae wakati ni mke wa mtu.