Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 12,592
- 27,659
Yaani nifananishe na kijana wa ovyo yule hapana aisee 🤣🤣🤣Kwanza yawezekana ww na National Anthem akawa ni mtu mmja
Yaani nifananishe na kijana wa ovyo yule hapana aisee 🤣🤣🤣Kwanza yawezekana ww na National Anthem akawa ni mtu mmja
If you want to live a happier life , just be singo…Kwani we upo single? 🤣🤣🤣 Ndio maana status zako siku hizi "Akinipenda mama inatosha"
😂😂Watu lkn Kaka angu yule mbona mtu wa MunguYaani nifananishe na kijana wa ovyo yule hapana aisee 🤣🤣🤣
Na ili nalo litapita dada yangu. Kwanza Shem mwenyewe hakua na hela.. Achana nae.. Move onIf you want to live a happier life , just be singo…
Status zetu hizoo
😂😂😂😂 em nenda ukaleNa ili nalo litapita dada yangu. Kwanza Shem mwenyewe hakua na hela.. Achana nae.. Move on
Na hapo ndio unapokosea.. Anapiga picha jumapili amechomekea kashika biblia kabisa😂😂Watu lkn Kaka angu yule mbona mtu wa Mungu
Urudi ns chips huku mchana ugali mi nimeuchoka😂😂😂😂 em nenda ukale
😅😅 Mesi sio?? HahaaaUrudi ns chips huku mchana ugali mi nimeuchoka
Ila Nyie wanawake wa humu 🙌🙌😀😀mnajua kutukomoa kwenye komenti😂😂😂Ana timu ya mpira ya wanawake
😂😂😂Nikiona I'd mpya naomba namba ya nida na kitambulisho cha kupigia kura ndo tunaanza kuzungumzaNgoja nije na ID mpya aisee.. 🤣🤣🤣
Nakataa nakataa 😂😂😂😂Watu lkn Kaka angu yule mbona mtu wa Mungu
Huu mwaka hampati kitu hapa ndani...Tunawalinda dada zetu kama mboniIla Nyie wanawake wa humu 🙌🙌😀😀mnajua kutukomoa kwenye komenti
Ukewenza unauma kuzagamuliwa Kwa zamu yataka moyo😭Katika ujanja ambao waislamu waliufanya.. ni quran kukataza wanawake wa kiislamu kuolewa na dini zingine.. ila quran imeruhusu wanaume wa kiislamu kuoa dini zingine.
Maana wanawake wangeruhusiwa kuolewa na dini zingine kama wanaume.
Wanaume wa kiiislamu wangekosa wake wa kuwaoa
Maana wanawake wa kisasa hawataki mambo ya uke wenza. Hivyo wanawake wa kiislamu Wangekimbilia kuolewa upande ambao hauna uke wenza kwa kisingizio cha dini inaruhusu
😂🤣🤣Huyo amebatizwa juzi tu hapa, huku nyumbani mtakatifu sanaNakataa nakataa 😂😂
🙄🙄🙄🙄🙄 Dada mzuri umeamkajeKwanza yawezekana ww na National Anthem akawa ni mtu mmja