Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,993
- 156,306
Kwa Upambe tu sijamboš!!Kabisa šukovizuri sana madam
Kwa Upambe tu sijamboš!!Kabisa šukovizuri sana madam
šKwa Upambe tu sijamboš!!
Bora dadaangu umekuwa mpambe kunawengine Wana kazi ya kupopoa nyuzi za wenzao za kutafuta wenza wakat wenyew wanalala kama mapanga wako single wengine wameachwa vibaya sanaššššni wivu tuKwa Upambe tu sijamboš!!
Watu wamevurugwa vibaya dadalakee! Wasikuumize Kichwa dear!!Bora dadaangu umekuwa mpambe kunawengine Wana kazi ya kupopoa nyuzi za wenzao za kutafuta wenza wakat wenyew wanalala kama mapanga wako single wengine wameachwa vibaya sanaššššni wivu tu
Nitonye, Mchaga, Mhaya na Mzaramo kulikoni?? Upande wa imani nakushauri usiegemee upande mmoja, kila mtu abaki na imani yake . Hizi dini ni danganya toto tu, ni biashara.
Yaani uko sahihi hta mm kwetu naona nitatengwa aisee siku nitayojaribu kumpeleka mkristo yaani suala la kwanza ni dini ndo muendelee na mengineNi rahisi kwa jamii ya kikristo kuishi na muislamu... ila ni ngumu sana jamii ya kiislamu kuishi na mkristo.
Jamaa ni muislam. Maana yake ukoo wake na ndugu zake wengi ni waislamu wenzake.. sasa akiwaletea mke mkristo hao ndugu zake watamgasi sana huyo mwanamke. Hawachelewi kumsingizia anawalisha kitimoto
Anataka mmbulu ili aweke mgambo nyumbani kulinda mkeNitonye, Mchaga, Mhaya na Mzaramo kulikoni?? Upande wa imani nakushauri usiegemee upande mmoja, kila mtu abaki na imani yake . Hizi dini ni danganya toto tu, ni biashara.
šššAna timu ya mpira ya wanawakeBora umeniambia šššwatano umenipendelea nitakuwa wa Sabaš
TAFADHALI NAOMBA ZINGATIA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU.
Habari wana jamiii forums, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana wa kitanzania.
Mimi ni mwajiriwa wa serikali katika ajira hizi mpyaa, sasa tangu niajiriwe kila nikipiga hesabu zangu siwezi ishi bila mke,nimeshindwa kabisa. Lakini pia nimeajiriwa katika moja ya taasisi hapahapa Dar es Salaam, lengo la bandiko langu ni kutafuta mke awe muislamu hata kama atakuwa mkristo awe tayari kubadili dini kuja upande wangu.
NB: Naomba nieleweke kuwa natafuta mke na siyo mpenzi. Naitaji mwanamke ambae naweza tengeneza familia naey
SIFA ZA MWANAMKE
1. Asiwe Mnene
2. Mweupe
3. Awe na kimo (urefu) wastani
4. Umri kuanzia 28 kurudi chini
5. Awe tayari kupima Afya
6. Awe na hofu ya Mungu, yaani asiwe ni mtu wa mambo mengi, maana mimi mwenyew sina mambo mengi.
7. Asiwe Mchaga, Muhaya au Mzaramo.
Ukiwa upo seriously ni PM.
š¤£š¤£š¤£ Dah š¤£š¤£š¤£ unamix ID na National Anthem mi mstaarabuMadame usijaribu Mad Max ni tapeli wa mapenzi atakuoa mke wa tano
Ngoja nije na ID mpya aisee.. š¤£š¤£š¤£Bora umeniambia šššwatano umenipendelea nitakuwa wa Sabaš
Yaani uko sahihi hta mm kwetu naona nitatengwa aisee siku nitayojaribu kumpeleka mkristo yaani suala la kwanza ni dini ndo muendelee na mengine
Acha kutubania rizki weweeeDON'T
Kwanza yawezekana ww na National Anthem akawa ni mtu mmjaš¤£š¤£š¤£ Dah š¤£š¤£š¤£ unamix ID na National Anthem mi mstaarabu
Kwani we upo single? š¤£š¤£š¤£ Ndio maana status zako siku hizi "Akinipenda mama inatosha"Acha kutubania rizki weweee