Mke wa kuoa anahitajika, nipo Dar es Salaam

Kwa Upambe tu sijambošŸ˜!!
Bora dadaangu umekuwa mpambe kunawengine Wana kazi ya kupopoa nyuzi za wenzao za kutafuta wenza wakat wenyew wanalala kama mapanga wako single wengine wameachwa vibaya sanašŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ni wivu tu
 
Bora dadaangu umekuwa mpambe kunawengine Wana kazi ya kupopoa nyuzi za wenzao za kutafuta wenza wakat wenyew wanalala kama mapanga wako single wengine wameachwa vibaya sanašŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ni wivu tu
Watu wamevurugwa vibaya dadalakee! Wasikuumize Kichwa dear!!
 
Nitonye, Mchaga, Mhaya na Mzaramo kulikoni?? Upande wa imani nakushauri usiegemee upande mmoja, kila mtu abaki na imani yake . Hizi dini ni danganya toto tu, ni biashara.

Ni rahisi kwa jamii ya kikristo kuishi na muislamu... ila ni ngumu sana jamii ya kiislamu kuishi na mkristo.

Jamaa ni muislam. Maana yake ukoo wake na ndugu zake wengi ni waislamu wenzake.. sasa akiwaletea mke mkristo hao ndugu zake watamgasi sana huyo mwanamke. Hawachelewi kumsingizia anawalisha kitimoto
 
Ni rahisi kwa jamii ya kikristo kuishi na muislamu... ila ni ngumu sana jamii ya kiislamu kuishi na mkristo.

Jamaa ni muislam. Maana yake ukoo wake na ndugu zake wengi ni waislamu wenzake.. sasa akiwaletea mke mkristo hao ndugu zake watamgasi sana huyo mwanamke. Hawachelewi kumsingizia anawalisha kitimoto
Yaani uko sahihi hta mm kwetu naona nitatengwa aisee siku nitayojaribu kumpeleka mkristo yaani suala la kwanza ni dini ndo muendelee na mengine
 
TAFADHALI NAOMBA ZINGATIA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU.

Habari wana jamiii forums, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana wa kitanzania.

Mimi ni mwajiriwa wa serikali katika ajira hizi mpyaa, sasa tangu niajiriwe kila nikipiga hesabu zangu siwezi ishi bila mke,nimeshindwa kabisa. Lakini pia nimeajiriwa katika moja ya taasisi hapahapa Dar es Salaam, lengo la bandiko langu ni kutafuta mke awe muislamu hata kama atakuwa mkristo awe tayari kubadili dini kuja upande wangu.

NB: Naomba nieleweke kuwa natafuta mke na siyo mpenzi. Naitaji mwanamke ambae naweza tengeneza familia naey

SIFA ZA MWANAMKE
1. Asiwe Mnene
2. Mweupe
3. Awe na kimo (urefu) wastani
4. Umri kuanzia 28 kurudi chini
5. Awe tayari kupima Afya
6. Awe na hofu ya Mungu, yaani asiwe ni mtu wa mambo mengi, maana mimi mwenyew sina mambo mengi.
7. Asiwe Mchaga, Muhaya au Mzaramo.


Ukiwa upo seriously ni PM.
 
Yaani uko sahihi hta mm kwetu naona nitatengwa aisee siku nitayojaribu kumpeleka mkristo yaani suala la kwanza ni dini ndo muendelee na mengine

Katika ujanja ambao waislamu waliufanya.. ni quran kukataza wanawake wa kiislamu kuolewa na dini zingine.. ila quran imeruhusu wanaume wa kiislamu kuoa dini zingine.

Maana wanawake wangeruhusiwa kuolewa na dini zingine kama wanaume.

Wanaume wa kiiislamu wangekosa wake wa kuwaoa

Maana wanawake wa kisasa hawataki mambo ya uke wenza. Hivyo wanawake wa kiislamu Wangekimbilia kuolewa upande ambao hauna uke wenza kwa kisingizio cha dini inaruhusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom