Mke wa kaka ananitia majaribuni

Umenikumbusha sana ili neno nimtindue,kipindi nipo chuo,tulikuwa tunalitumia sana,baada ya kutoroka na kwenda kutafuta papuchi kijiji cha jirani,tukitoka tu tunasema tayari nimeshamtindua wawili hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chuo gan mkuu??
 
Umenikumbusha sana ili neno nimtindue,kipindi nipo chuo,tulikuwa tunalitumia sana,baada ya kutoroka na kwenda kutafuta papuchi kijiji cha jirani,tukitoka tu tunasema tayari nimeshamtindua wawili hivi
Ni neno maarufu sana kule kiumeni sehemu ambapo watu hufunzwa uvumilivu wawapo maeneo magumu na hatarishi
 

Pita nae kama mwewe [emoji100]
 
Watu piga huyooo pigaa pigaa huyoooo pigaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawewe kwenda kukaa kwa kaka yako likizo nzima si ufala wewe ndii unamtega mke wa kaka yako, kaa siku3 ya nne unasepa likizo waeza ngorongoro, mikumi an dkama umeamua kutembelea ndugu usiweke kambi kama unajiandaa na mechi za afcon
 
Haiwezekan akupe majaribu hayo mkuu “wewe mpole kuliko kaka ako” mpe cha kumpendeza roho yake ila KAKA. Hapo akijua udugu utahepa
Na kitu ambacho nakiogopa Mana shobo zinazd had kaka akiwepo naogopa sana kwa kweli
 
Nawewe kwenda kukaa kwa kaka yako likizo nzima si ufala wewe ndii unamtega mke wa kaka yako, kaa siku3 ya nne unasepa likizo waeza ngorongoro, mikumi an dkama umeamua kutembelea ndugu usiweke kambi kama unajiandaa na mechi za afcon
Sawa. Mkuu nmekoma kukaa kwa watu
 
Kwanza hadi hapo nimekuheshimu your a man ,And ur bro should be proud of you ,run nigga run
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…