chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,544
- 2,694
- Thread starter
-
- #81
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chuo gan mkuu??Umenikumbusha sana ili neno nimtindue,kipindi nipo chuo,tulikuwa tunalitumia sana,baada ya kutoroka na kwenda kutafuta papuchi kijiji cha jirani,tukitoka tu tunasema tayari nimeshamtindua wawili hivi
Kwani mzee ukitegwa lazima upige au ndio nyie mkitegwa na nyie mnajitega[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu ila sio kwa mke wa kaka yangu amenilea mpaka kufikia hatua hii
Ni neno maarufu sana kule kiumeni sehemu ambapo watu hufunzwa uvumilivu wawapo maeneo magumu na hatarishiUmenikumbusha sana ili neno nimtindue,kipindi nipo chuo,tulikuwa tunalitumia sana,baada ya kutoroka na kwenda kutafuta papuchi kijiji cha jirani,tukitoka tu tunasema tayari nimeshamtindua wawili hivi
Hapana sio lazima na ndo Mana namuepuka sana nisijefanya udhalimu huoKwani mzee ukitegwa lazima upige au ndio nyie mkitegwa na nyie mnajitega
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kama kawa mashalah chura wa ukwelikapicha ka shemeji kutoka angle ya nyuma tafadhali
Habari za weekend wadau ,I hope mko Poa labda niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ni hivi nmepata kalikizo kafupi kutoka kiumeni (kwa watabe wa kubeba dunia) now nko dar nmekuja kumsalimia kaka Mana ni muda toka tumeachana mm nkiwa arusha (kiumeni).
Shida iliyonifanya niandike uzi huu ni huyu shemala wangu ,yaaan mke wa kaka Mana toka nimefika hapa ni shida tupu kwa mazingira anayoniwekea na hali hua tete kaka akienda kazini kila nikikaa sebuleni na yeye anakuja tena akiwa na nguo amabazo hua hazinibariki kbsa ukizingatia yeye ni mke wa kaka yangu ,hua anapenda sana kuniangalia usoni na kutabasamu kuna siku nlikua nmetulia zangu nacheki movie akaja akawa ananipigisha story haishi kunisifia Mara chlorine gas ww ni mpole kuliko kaka yako Mara macho yako yananichanganya sometimes namkatisha maongezi kwa kuleta mada zingine hali hii inaniogopesha Mana hata tukiwa tupo na kaka huyu shemela ananitupia vimacho vya wizi wizi as if kuna kitu anataka ,nmejarbu kujiweka mbali kwa kuwatembelea washkaji zangu na hata nkirudi nyumban najifungia chumbani lakn kila nkitoka analalamika kwenye meseji eti nmeenda kwa vimada vyangu badala nikae nyumbani nitulie ukizingatia kazi yangu mm ni ya kubeba vyuma(sifa damu) sasa nashindwa cha kufanya hapa nmepanga nisepe zangu mji kasoro bahari nkamalizie likizo yangu nirudi kiumeni arusha ,naogopa sana wake za watu jaman wanawake mlio kwenye ndoa msitutie majrbuni mashemeji zenu tunapokuja kuwasalimia kumbukeni na sisi tuna ugwadu vile vile mambo yanapotuzidia punguzeni Mitego.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aya kamanda ntaufanyia kazi ushauri wakoPita nae kama mwewe [emoji100]
Basi mvumilie maliza likizo yako usepe na ukome kukaa kwa watu muda mrefu[emoji2] [emoji2] [emoji2] kama kawa mashalah chura wa ukweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aya kamanda ntaufanyia kazi ushauri wako
Nawewe kwenda kukaa kwa kaka yako likizo nzima si ufala wewe ndii unamtega mke wa kaka yako, kaa siku3 ya nne unasepa likizo waeza ngorongoro, mikumi an dkama umeamua kutembelea ndugu usiweke kambi kama unajiandaa na mechi za afconHabari za weekend wadau ,I hope mko Poa labda niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ni hivi nmepata kalikizo kafupi kutoka kiumeni (kwa watabe wa kubeba dunia) now nko dar nmekuja kumsalimia kaka Mana ni muda toka tumeachana mm nkiwa arusha (kiumeni).
Shida iliyonifanya niandike uzi huu ni huyu shemala wangu ,yaaan mke wa kaka Mana toka nimefika hapa ni shida tupu kwa mazingira anayoniwekea na hali hua tete kaka akienda kazini kila nikikaa sebuleni na yeye anakuja tena akiwa na nguo amabazo hua hazinibariki kbsa ukizingatia yeye ni mke wa kaka yangu ,hua anapenda sana kuniangalia usoni na kutabasamu kuna siku nlikua nmetulia zangu nacheki movie akaja akawa ananipigisha story haishi kunisifia Mara chlorine gas ww ni mpole kuliko kaka yako Mara macho yako yananichanganya sometimes namkatisha maongezi kwa kuleta mada zingine hali hii inaniogopesha Mana hata tukiwa tupo na kaka huyu shemela ananitupia vimacho vya wizi wizi as if kuna kitu anataka ,nmejarbu kujiweka mbali kwa kuwatembelea washkaji zangu na hata nkirudi nyumban najifungia chumbani lakn kila nkitoka analalamika kwenye meseji eti nmeenda kwa vimada vyangu badala nikae nyumbani nitulie ukizingatia kazi yangu mm ni ya kubeba vyuma(sifa damu) sasa nashindwa cha kufanya hapa nmepanga nisepe zangu mji kasoro bahari nkamalizie likizo yangu nirudi kiumeni arusha ,naogopa sana wake za watu jaman wanawake mlio kwenye ndoa msitutie majrbuni mashemeji zenu tunapokuja kuwasalimia kumbukeni na sisi tuna ugwadu vile vile mambo yanapotuzidia punguzeni Mitego.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na sikomi ng'oooBasi mvumilie maliza likizo yako usepe na ukome kukaa kwa watu muda mrefu
Hahaha wewe jamaa ni mpuuzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] na sikomi ng'ooo
Na kitu ambacho nakiogopa Mana shobo zinazd had kaka akiwepo naogopa sana kwa kweliHaiwezekan akupe majaribu hayo mkuu “wewe mpole kuliko kaka ako” mpe cha kumpendeza roho yake ila KAKA. Hapo akijua udugu utahepa
Sawa. Mkuu nmekoma kukaa kwa watuNawewe kwenda kukaa kwa kaka yako likizo nzima si ufala wewe ndii unamtega mke wa kaka yako, kaa siku3 ya nne unasepa likizo waeza ngorongoro, mikumi an dkama umeamua kutembelea ndugu usiweke kambi kama unajiandaa na mechi za afcon
Kwa nn mkuu??Tatizo liko kichwani kwako