Mke wa kaka ananitia majaribuni

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kubeba vyuma si gym mzeiyaaaa
Kubeba vyuma sio kazi. Kiswahili sanifu kazi ni ile shughuri yoyote inayokuingizia kipato halali. Nondo wengi tunapiga,lakini sio kazi yako kama ulivyoitaja hapo ni sehemu ya kuuweka mwili fit (mazoezi)
 
Nenda kasome vizuri hadithi za Erick shigongo ndio uje tena
 
Mke wa kaka yako siyo mke wa mtu, huyo ni shemeji yako acha upumbavu, unakaaje kwa kaka ako siku zote hizo, tembea katafute hela uoe na wewe.
 
Mpe mashine mkuu maana kaka ako ashakua mwanaume dar hawez kazi... Anamtesa mtoto wa watu keshaona kidume cha mkoa kipo mjengon we gegeda tu mpk mwisho wa likizo yako....
NB ukipiga mgegedo utupe mrejesho pia mkuu kila kheri[emoji41]
 
Mpe mashine mkuu maana kaka ako ashakua mwanaume dar hawez kazi... Anamtesa mtoto wa watu keshaona kidume cha mkoa kipo mjengon we gegeda tu mpk mwisho wa likizo yako....
NB ukipiga mgegedo utupe mrejesho pia mkuu kila kheri[emoji41]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuu
 


mh
 
Umenikumbusha sana ili neno nimtindue,kipindi nipo chuo,tulikuwa tunalitumia sana,baada ya kutoroka na kwenda kutafuta papuchi kijiji cha jirani,tukitoka tu tunasema tayari nimeshamtindua wawili hivi
Kiukweli mm sio mwandishi mzurii nisamehe kwa hilo ila kwa ku mpa anachotaka ni vigumu japo najua anataka nimtindue
 
Barikiwa uyashinde majaribu ya shemeji yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…