Mke wa balozi mtamu

Mke wa balozi mtamu

Ila unafanana na yanayokea mwaka huu. Inawezekana tu ni makosa ya October ileee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
kweli aisee maana sio kwa UTUMBO aliokuwa anaimba huyo jamaa

mara tulisikiaga

"..usiniseme kama napenda kula.."

[emoji2][emoji2]

na video lake lile kama alishoot kwa Simu..
Yaani team mondi utawajua tuu
 
Matembele ni matamu kama mke wa BALOZI [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
909465fe30db34622947654c3eaa13ea.jpg

Toboa tobo tu mshana...,ila anza na neno 'eti ' wanasema 'eti,.'.......
Dah! Vi-wonder tz hiyoooo......
 
432366cb905a177f0cd7df208cac9b0f.jpg
kuna kawimbo kakichokozi mno kanaimbwa na wazee fulani hivi kibarazani huku wakinywa bia
Mmoja anaaza....
Matembele.....
Wengine wanaitikia...
Matembele ni matamu kama mke wa jirani...
Halafu wanaendelea kwa kupokezana
Matembele ni matamu kama mke wa mwenye nyumba[emoji12] [emoji15] [emoji35] [emoji3]
....Matembele ni matamu kama mke wa balozi [emoji87] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125].....!!!
Ni kawimbo kanakoleta burudani lakini ile ni tafsida....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]usiniulize zaidi sitakwambia
Kweli cheupe ni mtamu hadi protokalii inasahaulika kwa muda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom