Yaani team mondi utawajua tuukweli aisee maana sio kwa UTUMBO aliokuwa anaimba huyo jamaa
mara tulisikiaga
"..usiniseme kama napenda kula.."
na video lake lile kama alishoot kwa Simu..
I miss u bro. Sijaona uzi wa kichawichawi.
Dah, mshana ni MBEBA MAONO.... Ama kweli matembele matamu mno.Dah huu wimbo ndio nimeulewa leo
Kweli mke wa Balozi mtamu
Matembele ni matamu kama mke wa BALOZI![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu tunakupenda jihadhari na watu wasiojulikanaAku simo...![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli cheupe ni mtamu hadi protokalii inasahaulika kwa mudakuna kawimbo kakichokozi mno kanaimbwa na wazee fulani hivi kibarazani huku wakinywa bia![]()
Mmoja anaaza....
Matembele.....
Wengine wanaitikia...
Matembele ni matamu kama mke wa jirani...
Halafu wanaendelea kwa kupokezana
Matembele ni matamu kama mke wa mwenye nyumba![]()
![]()
![]()
![]()
....Matembele ni matamu kama mke wa balozi![]()
![]()
![]()
![]()
.....!!!
Ni kawimbo kanakoleta burudani lakini ile ni tafsida....![]()
![]()
![]()
usiniulize zaidi sitakwambia