Milanzi2018
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 388
- 381
Mshana Yule balozi wa mtaa wa Han Hun.? Pale mkoa wa Mashariki?kuna kawimbo kakichokozi mno kanaimbwa na wazee fulani hivi kibarazani huku wakinywa bia
Mmoja anaaza....
Matembele.....
Wengine wanaitikia...
Matembele ni matamu kama mke wa jirani...
Halafu wanaendelea kwa kupokezana
Matembele ni matamu kama mke wa mwenye nyumba
....Matembele ni matamu kama mke wa balozi .....!!!
Ni kawimbo kanakoleta burudani lakini ile ni tafsida.... usiniulize zaidi sitakwambia
Inawezeka ndo alikuwa anajifunza kuandika maupupu yake hayo. Hahahaaaaa...nimefananisha tu Mshana Jr. Kule fb jamaa kaongea mazitoUzi wa 2016 huu
Ya kule fb tukiyaweka hapa tunaenda wengi jela iseeDuu kasemaje?
Na wewe uliyechangia ni mjinga???Siku hadi hadi nagundua kitu toka kwa wanaCCMTAKA TAKA TUPU.....UZI WA KIJINGA