Ni kweli aiseeUna muendekeza
Thubutu kuna wanawake akili zao mbovu sana anaweza kuwashindisha watoto uji na maharage ya ajabu ukirudi utajutaFunga biaShara kwa mda safiri bila kuacha akiba uone Km wanae wtalala njaa matokeo uturejeshee
Nina mke na watoto wanne, mi ni mjasiliamali na make wangu ni mtumishi Wa umma..mshahara wake ni lak 9..Kwa kwl for 12 yrs....sjaona mchango Wa pesa..zake..,Umeme,Maji,kingamuz,chakula na ada za machalii...natoa Mimi tu....
Mwez ulopita nilmwambia bill ya Maji 23500 alipe. Hakulpa,mwz huu. .wamekuja kukata Maji..Nida!!! Kasema wakate tu...nmefk Hom taps locked.
Jamanni wanawake mlokazn,na wanaume mlooa workers je Kw ndoa zenu hili ni sahihi?!!sio unyonyaji huu Wa waziwazi?
Ndoa zina vituko jamani khaaWote wako hivyo hivyo, Mimi wangu ndio kanikopa laki asubuhi hii ki moyo moyo najiuliza inaMaana hata mshahara wake haumtoshi? Hapo hachangii chochote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana mvuto lakini isije ikawa na sura nayo alinyimwa kama anavyonyima pesa zake
Ukweli unauma si unajuaKuna thread niliichapisha jana nikieleza jinsi maadili ya hawa watu yalivyo siku hizi. Nikaonekana mkoloni ila nimeongea ukweli halisi
Me ningetimua tu ...oa mwingine ndo solutionNina mke na watoto wanne, mi ni mjasiliamali na make wangu ni mtumishi Wa umma..mshahara wake ni lak 9..Kwa kwl for 12 yrs....sjaona mchango Wa pesa..zake..,Umeme,Maji,kingamuz,chakula na ada za machalii...natoa Mimi tu....
Mwez ulopita nilmwambia bill ya Maji 23500 alipe. Hakulpa,mwz huu. .wamekuja kukata Maji..Nida!!! Kasema wakate tu...nmefk Hom taps locked.
Jamanni wanawake mlokazn,na wanaume mlooa workers je Kw ndoa zenu hili ni sahihi?!!sio unyonyaji huu Wa waziwazi?
Pewa balimi 2 mkuu kwa bill yangu,,,Hiyo hali nahic ni wewe mwenyewe ulii-tolerate toka mkiwa kwenye mahusiano, lyk unakuwa na mwanamke who doesn't do sh*t for you hlf unajipa hope kwamba she's a girl bla bla women don't do this bla bla
Hlf inavoonesha mkeo hakukupenda tangu mwanzo sema ulkuwa hujui, aliolewa na ww basi tu
mkulima gwakikolo
Umesahau mumy kuna na vikoba siku hiziAnachezea upatu na michango ya sherehe za mashosti
Mbona unamshauri kitu ambacho unajua hakitakaa kitokee! Yaani ampe benki stetimenti!mdanganye kuna mkopo unataka kuchukua sasa wanataka bank statement yako na yake,alafu akikupa we chunguza transactions utapata jibu,ni either anapeleka kwao au anahonga au kuna mradi anafanya kimya kimya! Au anamakato makubwa bank ya loan ambayo haina maelezo! Kisha fanya maamuzi magumu
Na yeye hampendi, mbona anakuja kulalamika humu badala kuprovide bila kinyongo kwa mpenzi wake!Sorry kwa kusema maneno haya Hakupendi huyo
Ndio uanaume huo, yaani amekuamini mumewe huwezi shindwa kitu!Mwanamke unaweza ukawa huna kazi na bado akakuomba hela ya matumizi asubuhi.