Mke sijui Salary yake anafanyia nini?

Mke sijui Salary yake anafanyia nini?

We ndo umemdekeza bhana, ilitakiwa kuwe na mipango. Mpangiane majukumu lazima atatekeleza tuu
 
Alichofanya mk3o sio sahihi ingawa ilo ni jukumu la mwañaume..... Watoto ni wakwako walishe walipie ada na pia tuishi kwenye nyumba nzuri huo ndo uanaume na hata nkitaka kwenda saloon nguo mpya pia uhusike uondo uanaume ukisikia wanaume wanatenda miujiza ndo kama hivi..... Kama mwanamke anafanya kazi pesa yake acha asaidie kwao kama kuna shida coz ndo waliomsomesha atoe hapo nyumbani kama Mme wake amekwama basy yaani ela ya mkeo usiipigie mahesabu labda kama ulichangia elimu yake
 
usubiri ufe ndo hata kapo hona umuhimu wako
 
Alichofanya mk3o sio sahihi ingawa ilo ni jukumu la mwañaume..... Watoto ni wakwako walishe walipie ada na pia tuishi kwenye nyumba nzuri huo ndo uanaume na hata nkitaka kwenda saloon nguo mpya pia uhusike uondo uanaume ukisikia wanaume wanatenda miujiza ndo kama hivi..... Kama mwanamke anafanya kazi pesa yake acha asaidie kwao kama kuna shida coz ndo waliomsomesha atoe hapo nyumbani kama Mme wake amekwama basy yaani ela ya mkeo usiipigie mahesabu labda kama ulichangia elimu yake

Aseeh kwa maisha haya,..
 
Sorry kwa kusema maneno haya Hakupendi huyo
 
mdanganye kuna mkopo unataka kuchukua sasa wanataka bank statement yako na yake,alafu akikupa we chunguza transactions utapata jibu,ni either anapeleka kwao au anahonga au kuna mradi anafanya kimya kimya! Au anamakato makubwa bank ya loan ambayo haina maelezo! Kisha fanya maamuzi magumu
Hivi mkuu unashindwaje kujua maisha hasa ya pesa za mkeo. Kuna maelewano kweli?

Kwa hapa wanaume tunakosea saana.
 
Alichofanya mk3o sio sahihi ingawa ilo ni jukumu la mwañaume..... Watoto ni wakwako walishe walipie ada na pia tuishi kwenye nyumba nzuri huo ndo uanaume na hata nkitaka kwenda saloon nguo mpya pia uhusike uondo uanaume ukisikia wanaume wanatenda miujiza ndo kama hivi..... Kama mwanamke anafanya kazi pesa yake acha asaidie kwao kama kuna shida coz ndo waliomsomesha atoe hapo nyumbani kama Mme wake amekwama basy yaani ela ya mkeo usiipigie mahesabu labda kama ulichangia elimu yake

Umechanganya uhalisia na myth ndio maana nimerudia kusoma ushauri wako mara 10 sijapata cha kuchukua.

Sio sahihi kwanini na wakati chini umeelezea ni sahihi.
 
HAKUNA WANAWAKE HEAD ACHE KAMA WALIOAJIRIWA NA WENYE VIELIMU,NIMEOWA WATATU,WA KWANZA ALIKUWA MWALIMU WA CHUO KIKUU,WA PILI DAKTARI,WA TATU MWALIMU WA SEKONDARI WOTE NI MA JIPU,SIJUI WANAFUGA MISUKULE?,NOW NINA MKE WA KAWAIDA TUU ANANISAIDIA BIASHARA ZANGU MUDA WOTE TUPO WOTE,UNAFUU WA MAISHA UPO SANA,HAO WALIOAJIRIWA HATA BIASHARA WENGI WAO KUSIMAMIA HAWAWEZI,AFU KIBURI KINGI MARA SIJUI MI MSOMI NA BLA BLA NYINGI,TAFUTA MKE MWINGINE MPAMBANE.FORM 4,6,au bachelor but asiwe mwajiriwa,ajiari au mjiajiri wote,au umlete akusaidie ku run miradi yako.
 
Wanawake bora wenye upendo na heshima ya hali ya juu ni wenye elimu ya juu ya L.Y yaani la saba,form 4 na six mwisho.akiwa na bachelor na ajira anaota mapembe hatawaliki na haambiliki
 
Mimi ni muolewa na siezi kukwambia naishi vipi na mume wangu.Ila wanasema mtoto umleavyo ndo akuavyo.Inaonekana tokea mwanzo ulijicommitte kuhudumia familia kwa 100%.Sio mbaya wewe ndo mwanaume endelea kulea.Ila angalizo ni moja tu Mwambie mkeo atambue kuwa hakuna mwenye mkataba naMwenyezi Mungu siku Muumba akiamua kuwa anakuhitajia(wewe mume)na hajajifunza kuhudumia familia ataadhirika mtaani.Hata kama hachangii katika Maisha yenu,je anafanya nini na Maisha yake Binafsi?Japo mkisha kuwa mke na mume hakuna maisha binafsi.Au na wewe(Mume)kila kitu ni cha kwako sio cha kwenu?Au anajilinda kutoka kwako na matendo yako? anaona yuko mguu nje mguu ndani hivyo anachukua tahadhari na kufanya yake.Asikwambie mtu hakuna mwanamke anayependa kwa dhati na na kuamini uhusiano wake na ana pesa akaacha Maji ya katwe????Kaa na mkeo muongee kuna kitu hapo aidha Humthamini na humfanyi kama sehemu ya maisha yako ,aidha hana mapenzi ya dhati kwako,ama Wewe ni mbinafsi na ni kati ya zile familia kuwa kila kitu ni cha mume au Hajakuwa bado..Ni kwa mtazamo wangu tu!
 
Fanya utaratibu ukae nae umwambie kuhusu hilo suala na ikishindikana fanya jaribio la kumuacha,hakika akili itamrudi kwani hata yeye hawezi kumshirikisha mtu mwenye akili akamsapoti katika hilo,ni ujinga sana huo,kuoa sio mzigo,kuoa ni pamoja na kusaidiana majukumu nakupeana heshima,kwanza mtu akioa anakua kajitoa sana kwasababu unakuta mtu alishatumika kinoma na wadada wanaotaka ndoa ni wengi,hakuna jipya katika kuoa zaidi yakuongeza familia na mwanaume asipokua makini anaweza akaingezewa watoto kwakusingiziwa,kwanini kujitesa,mchane wazi huyo mwanamke,lasivyo mwambie aache kazi.
 
Mimi ni muolewa na siezi kukwambia naishi vipi na mume wangu.Ila wanasema mtoto umleavyo ndo akuavyo.Inaonekana tokea mwanzo ulijicommitte kuhudumia familia kwa 100%.Sio mbaya wewe ndo mwanaume endelea kulea.Ila angalizo ni moja tu Mwambie mkeo atambue kuwa hakuna mwenye mkataba naMwenyezi Mungu siku Muumba akiamua kuwa anakuhitajia(wewe mume)na hajajifunza kuhudumia familia ataadhirika mtaani.Hata kama hachangii katika Maisha yenu,je anafanya nini na Maisha yake Binafsi?Japo mkisha kuwa mke na mume hakuna maisha binafsi.Au na wewe(Mume)kila kitu ni cha kwako sio cha kwenu?Au anajilinda kutoka kwako na matendo yako? anaona yuko mguu nje mguu ndani hivyo anachukua tahadhari na kufanya yake.Asikwambie mtu hakuna mwanamke anayependa kwa dhati na na kuamini uhusiano wake na ana pesa akaacha Maji ya katwe????Kaa na mkeo muongee kuna kitu hapo aidha Humthamini na humfanyi kama sehemu ya maisha yako ,aidha hana mapenzi ya dhati kwako,ama Wewe ni mbinafsi na ni kati ya zile familia kuwa kila kitu ni cha mume au Hajakuwa bado..Ni kwa mtazamo wangu tu!
Umeongea vizuri sana, mwana umleavyo ndivyo akuavyo inaonyesha jamaa alikua over provider wa familia na ndivyo hivyo mkewe alivyozoea na unaweza kukuta huyo mkewe hata cha maana hanunui kazi anakula hata tu
 
Wanawake bora wenye upendo na heshima ya hali ya juu ni wenye elimu ya juu ya L.Y yaani la saba,form 4 na six mwisho.akiwa na bachelor na ajira anaota mapembe hatawaliki na haambiliki
Labda mkeo usitumie assumption zako kuwaweka kenge kwenye mamba
 
Miaka 12 yote uliona sawa kila mtu atumie fedha zake kivyake. Sasa maisha yamebana unaanza kuangalia hela ya mkeo. Mambo ya fedha ni ya msingi sana. Mlitakiwa mjadili na mkubaliane kabla hamjafunga hata ndoa. Hujatuambia unahusika vipi kifedha na mambo yanayomhusu mke wako kwa hiyo unaposema hujui fedha zake anazifanyia nini utakuwa unakosea. Matumizi ya fedha hayaishi geti la nyumba mnayoishi. Na mpaka mtu akatae kulipia maji ya nyumbani kwake inaonyesha mahusiano yenu ni mfu. Anzeni upya kwa busara. Huku unaweza kula matango pori.
 
Back
Top Bottom