Siyo sahihi mkuu,na hii hali nilishaishuhudia kutoka kwa Jamii mmoja niliyekuwa nimepanga naye Nyumba moja,yeye na Mkewe walikuwa Waalimu,yaani mpaka huruma,namna jamaa anavyohangaika hasa kipind cha katikati ya Mwez,Mkewe yeye ni kujipodoa tu hana mchango wowote katika familia yao,kwa ushauri wangu muambie ukwel kuhusu umuhimu wa kusaidiana na haupendezew na tabia hiyo,na kama anafanya kaz na hana mchango bora akae tu Nyumbani ili ijulikane hana hana kaz,na akikata achana naye huyo hakufai kabisa na ipo siku atakutesa ikitokea umeishiwa.