Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
jipange kwanza ndoa baadae
Habari ndugu zangu,
Mimi nataka kuoa lakini kila nikichumbia mwanamke ananiuliza unafanya kazi gani nikimwambia sina kazi,biashara inaishia hapo.wakuu naomba ushauri nifanyaje kuhusiana na jambo hili.
huyu kijana anafaa kuwa mkweo??!!
Habari ndugu zangu,
Mimi nataka kuoa lakini kila nikichumbia mwanamke ananiuliza unafanya kazi gani nikimwambia sina kazi,biashara inaishia hapo.
Wakuu naomba ushauri nifanyaje kuhusiana na jambo hili.
Vigezo:
Kwa mali zao,
Kwa uzuri wao,
Kwa nasaba zao.
Kwa ucha Mungu wao.
u
yetoo umetisha avae
atimize vigezo vyote? kimoja,viwili au vitatu kati ya hivyo?