Mke mwema anatoka kwa Bwana sasa kwanini asiwe na bikira yake?

Mke mwema anatoka kwa Bwana sasa kwanini asiwe na bikira yake?

Hakuna uhusiano kati mke mwema na Bikra. Mke mwema ni yule mwenye upendo, uvumilivu, mtulivu, msafi, mnyenyekevu, sio mzinzi, mtu atayekuwa na wewe bega kwa bega kwenye shida na raha, anayependa ndugu zako,anayekulea wewe na watoto, anayewezesha kukuwakilisha na kusimamia mambo yako ukiwa haupo. Mambo ya bikra, makalio, midomo ni fantansies tu ambazo hazima maana kwenye real family life.
 
Kama tunaamini kabisa kuwa mke mwema anatoka kwa Bwana iweje huyo aliyetoka kwa Bwana asiwe na bikira yake?

Ni nani huyo aliyeitoa bikira yake? Hapa utamkuta mlokole na mshika dini anakuambia Mke mwema anatoka kwa Mungu na huyo mke wake hana bikira inawezekana vipi ndg zangu?

Ebu tuweni na akili kidogo tu kama kweli mke mwema anatoka kwa Bwana basi ni lazima atakuwa amejitunza na yuko full virginity tofauti na hapo acheni kujipa matumaini hewa yasiyo kuwepo duniani wala mbinguni.
Mke katoka kwa Bwana atakuwaje na bikira? 😂😂😂
 
Kama tunaamini kabisa kuwa mke mwema anatoka kwa Bwana iweje huyo aliyetoka kwa Bwana asiwe na bikira yake?

Ni nani huyo aliyeitoa bikira yake? Hapa utamkuta mlokole na mshika dini anakuambia Mke mwema anatoka kwa Mungu na huyo mke wake hana bikira inawezekana vipi ndg zangu?

Ebu tuweni na akili kidogo tu kama kweli mke mwema anatoka kwa Bwana basi ni lazima atakuwa amejitunza na yuko full virginity tofauti na hapo acheni kujipa matumaini hewa yasiyo kuwepo duniani wala mbinguni.
Kabla hujakutana naye alikuwa na bwana, huyo ndiye alimtoa bikira. Hata hivyo bikira huwa zinatoka kwa sababu mbalimbali.
 
Hakuna uhusiano kati mke mwema na Bikra. Mke mwema ni yule mwenye upendo, uvumilivu, mtulivu, msafi, mnyenyekevu, sio mzinzi, mtu atayekuwa na wewe bega kwa bega kwenye shida na raha, anayependa ndugu zako,anayekulea wewe na watoto, anayewezesha kukuwakilisha na kusimamia mambo yako ukiwa haupo.
Hizi ulizotaja ni sifa za mwanamke bikra, Huwez kuwa mwanamke malaya afu ukawa na hizo sifa.
 
Kwa dunia ya sasa kumpata mke mwenye bikra ni nadra sana.Hawa ambao hawana bikra tunajipendekeza tu hata kutoa mahali walitakiwa tupewe buree kabisa

Mbona wamejaa Sana mkuu.

Au unatafuta Wazee?

Bikra mara nyingi utazikuta kwa mabinti miaka 17-20 hapo. Zipo nyingi Sana.

Tafuta mabinti waliomaliza kidato cha nne.
Robo yao huwezi kukosa bikira.

Sasa unatafuta mwanamke miaka 25+ huko alafu umuulize bikra. Utakuwa umelogwa na unamuonea tuu
 
Bikra inaweza tolewa hata na baiskeli bwashee

Kwa Sisi tuliokutana na Bikra tutakukatalia kabisa.

Bikira haiwezi tolewa na baiskeli. Lazima kitu kigumu kipite ndipo bikra itoke.

Na kwa kukusaidia tuu. Kama huna nguvu za kutosha au tuseme mwanaune goigoi. Mjegeje hauna nguvu, bikira unaweza usiitoe. Ukaishia kunawa tuu.
 
Back
Top Bottom