Huyo mke mdogo akiwa mbishi zaidi au mdokozi ataongeza mke mwingine(kwa kuwa dini inamruhusu)?mimi nilidhani unaongeza mke kwa upendo siyo kumwadhibu mke aliyetangualia,lol....binadamu bwana, hamna aliyekamilika na ndoa ni kufunzana/kuwasiliana siyo kukomoana. kama ni mbishi kupita kiasi ina maana alimfahamu tangia wako wapenzi, kwanini alimuoa?
Nyumba ndogo inapoza machunguWapendwa
ndoa ya rafiki na jirani yangu iko hati hati ya kuvunjika, kisa jamaa katafuta mke mdogo (ofcourse anasema dini yake inamruhusu). Niliwahi kumwonya mke hakunisikia...kisa jamaa amechoshwa na tabia ya ubishi aliyo nayo mkewe. Nimeishiwa ushauri wa kutoa maana hata mimi tabia ya mke kuwa mbishi kupita kiasi kwa mume siipendi though I feel pity to those little girls (watoto wao). Naomba kujazwa maneno kwa ajili ya kujaribu kumshauri jamaa na mke pia.
Wapendwa
ndoa ya rafiki na jirani yangu iko hati hati ya kuvunjika, kisa jamaa katafuta mke mdogo (ofcourse anasema dini yake inamruhusu). Niliwahi kumwonya mke hakunisikia...kisa jamaa amechoshwa na tabia ya ubishi aliyo nayo mkewe. Nimeishiwa ushauri wa kutoa maana hata mimi tabia ya mke kuwa mbishi kupita kiasi kwa mume siipendi though I feel pity to those little girls (watoto wao). Naomba kujazwa maneno kwa ajili ya kujaribu kumshauri jamaa na mke pia.
kwa maelezo yake na kwa kuwa nimeishi nao kwa ukaribu kwa zaidi ya miaka nane sasa, mwanamke hakuwa hivyo huko nyuma.
je yeye hajabadilika miaka yote waliyoishi na mke hakuwa na sababu ya kumtafutia nyumba ndogo ........au leo anamtafutia sababu,kwasababu amemchoka au labda anaendelea kutafuta kilichokamilika ambacho hakipo vile vile ilihali yeye akiwa si mtimilifu.
Vijana wanaita Shock absoverNyumba ndogo inapoza machungu