Umekula limbwata ,sasa ukimwacha watoto si watateseka. Dawa yake mfanyie live na wewe ili ajue uchungu na ashike adabu. Mpe mashine hasa,Kaka mridhishe halafu tafuta noti,,hawa viumbe mfuko ukipungua no love. Matatizo mengi huwa wakati mwingine tunasababisha.Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Kambembeleze arudi kisha muangukie akusamehe, muahidi hutarudia tena kupokea simu yake ikiita dawa ya moto sio moto akirudia tena msamehe tena...akikua ataacha tu kwanza sawa na haluwa haina makomboNimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Mkuu wewe ni mvulana au mwanaume?anakujibuje kirahisi hivo eti "nmemfukuza ila hatak"umeolewaa?Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
transition period nmechekaaaa sana kipnd hiki tegemea vitu kama njaaa,kujiua,usaliti,vibom malizia naweweMaisha yamebadilika sana Ndugu
Kamwe usijaribu kushika simu ya mwanamke umpendae au mke wako.
Kamwe kamwe usijaribu hicho kitu
Utakayo yaona humo yanaweza kukuadhiri kisaikolojia kwa muda wote wa maisha yako
Wanawake hawa wa kitanzania wa sasa wapo kwenye kipindi cha mpito cha kuiga vitu vinavyofanywa na wanawake wa kizungu. Ni katika kipindi hichi ndipo sisi wanaume tutaumia sana!!!!
PoleNimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Nakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka, Unapo ondoka nyumbani usimuage, asijuwe unarudi muda gani nyumban, Asijuwe UNAMIKAKATI GANI KWA SASA! ,, Muda wa wiki mbili majibu utayapata kabisa!!" Hii ndo dawa pekee kw mwanamke malaya,, lakin kumbuka kusalimisha fedha zako uhifadhi mahali ambapo hawezi kuzisogelea,, baada ya muda huo nilio kupa hapo juu ,,hakika Utatuletea mrejesho, AsanteNimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
picha za ajabu ndio picha gani tena??Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Je akirudi nyumbani akakuta malaya yule kajifungia ndani asimgongee mlango? Namshauri pia aanze kuhamisha vitu vyepesi vyenye thamani kama vile TV na radio.Nakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka, Unapo ondoka nyumbani usimuage, asijuwe unarudi muda gani nyumban, Asijuwe UNAMIKAKATI GANI KWA SASA! ,, Muda wa wiki mbili majibu utayapata kabisa!!" Hii ndo dawa pekee kw mwanamke malaya,, lakin kumbuka kusalimisha fedha zako uhifadhi mahali ambapo hawezi kuzisogelea,, baada ya muda huo nilio kupa hapo juu ,,hakika Utatuletea mrejesho, Asante
nashukuru kaka wewe mtu wa 4 unanipa ushauri huoNakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka, Unapo ondoka nyumbani usimuage, asijuwe unarudi muda gani nyumban, Asijuwe UNAMIKAKATI GANI KWA SASA! ,, Muda wa wiki mbili majibu utayapata kabisa!!" Hii ndo dawa pekee kw mwanamke malaya,, lakin kumbuka kusalimisha fedha zako uhifadhi mahali ambapo hawezi kuzisogelea,, baada ya muda huo nilio kupa hapo juu ,,hakika Utatuletea mrejesho, Asante
Wengi ni washiriki wa haka kamchezo. Hapo wameguswaNyuzi km hizi wanawake ni nadra kuwakuta . sijui tatizo nn