goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Kabadilishwa jinsia bila kutolewa mjusi...Wewe ni mama mwenye nyumba na mkeo ni baba mwenye .
That is what it is.

Kabadilishwa jinsia bila kutolewa mjusi...Wewe ni mama mwenye nyumba na mkeo ni baba mwenye .
That is what it is.

Hivi Wanaume wengine vipi aicee?Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana name new watoto wangu nilikua simfutilii ata simu yake sishiki. kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini alicha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki whatsapp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyo rudi ananiuliza ulipokea simu yangu nikamwambia yes.akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.Akaniuliza i umefungua whatsapp nikamjibu i ndio.alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu.eti nilichokitata ndio nilichokiona tatizo nishmfukuza ila ataki kuondoka.Msaada wenu
Hataree sanaHihihiiiiiiiiiiiiii, nacheka kama mazuri vile, hawa viumbe hawaaaaaaa
Usidhubutu ni afadhali muachane kwa amaniHapo naisi jela mkuu
Pole sana daa kuna watu wanabahati unapata mme mpole hivi kama wewe duuMkuu me nimetulia ninety mpaka najiogopa
Hakuna kitu kama hicho kila mtu ana wakwake, kanichekesha huyo eti LIPUADaaah nkisomaga visa vya waliopita wengine hamu ya kuoa huisha.

C ni mke wako na unampenda mkuu kama uliweza kuvumilia alivyokukosea heshima kama mume wake basi kaza moyo tu ita wazee uchague moja either unaacha au unamkanya ila usikurupukie vitukikao siwezi mke anmtumia mtu picha za uchi
nmekupenda bure mkuu uamuzi wa kiume sana huo ulifanyaebu na Mimi nichangie kwa kueleza kisa changu ..
.. Nilifunga ndoa mwaka 2013 na binti niliye dumu naye kwenye uzinzi kwa miaka 2 namanisha tulikuwa tunagegedana kabla ya kufunga ndoa ...bahada ya mwaka mmoja na nusu kuishi nae kwenye ndoa tukapata Toto dume yani dume kweli kweli nikisema dume ujue dume tena jeusi pua kubwa ata kwenye ukoo wetu akuna mwenye lipua kama hilo..kitu ambocho family yangu ilipinga kuwa uyo mtoto ladhima nime pakaziwa ...nilimkingia kifua wife ..si unajua tena ndo napo ponea ..lakini bahada ya mtoto kuanza kutembea wife akanza kuleta machejo mengi..
Mara achelewe kurudi home .. Tena bila sababu muimu nikaona isiwe mbaya labda biashara yake ya mamalishe inakwenda vizuri mana kwa wakati huo alikuwa anauza chakula maeneo ya ubungo riverside .
Basi bwana simu yake akawa anazima anaporudi home .ikiwa on basi akipokea anakwenda kulonga nje... Kutokana na vitabia vya kijinga alivyo kuwa akionesha ..nikanza kufunguka macho nikaanza kuziona dosali adi kwa mtoto ..mana lile Toto lilikuwa na dole gumba LA mguu kubwa ata babu yangu akuwai kuwa nalo ..toto dogo Ila linaonesha kuwa na dalili za kipara kitu ambocho kwetu sisi akuna ..basi nakawa najimbia uenda kweli nyumbani waliniambia jambo LA kweli ..ila nikajipa moyo uenda nishetani tu anataka kuharibu ndoa yangu... Basi siku zikapita uku vitimbwi vya ashangedele vikiongeza nikawa na mezea tu mana kwa kipindi icho nilitimuliwa kazi kwenye banda LA chipsi sikuwa na kitu na wife ndo alisimamia family kwa wakati huo ikabidi niwe mpole ..kuna siku nipo home akawa amenda kuoga simu kacha kitandani ikabidi nichukue kwa lengo LA kuchukua namba ya dadake mana ilipotea bahada ya kulinyuu lain ..nikajikuta tu natazama chat zake ..nilicho kikuta uku sili yangu ..ila kikubwa ni kwamba wife anamsifia jamaa aliye msave jibaba kuwa kafanana na mtoto wake .tena anamsifu jibaba anajua kugegeda kuliko Mimi ....APA acha niluke coz najikuta natonesha kidonda ... Nikaludisha simu yake nika uchuna .... Nikatoka njee nikampigia MZEE simu nikamwambia kila kitu alicho nijibu ni USIKUBARI MWANAMKE AKARIBU FUTURE YAKO .banikapanga nguo zangu kwenye begi .bira kusahau kachet kangu ka form 4 .nikahiba na pesa yake 80000 .nikasepa sikuhaga MTU .nikalala kwa jamaangu shekilango .asubuhi nikapanda rungwe adi mbeya ..adi sasa navyo andika ivi Nina good life na miliki vibanda kazaa vya tigo pesa mabanda ya mipira ..na mambo yanaendelea ..NACHOKUSHAURI USIKUBARI MWANAMKE ARIBU FUTURE YAKO
Atakuua huyo...hama mwache na huyo dada yake watakuua hao shauri zako...Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana name new watoto wangu nilikua simfutilii ata simu yake sishiki. kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini alicha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki whatsapp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyo rudi ananiuliza ulipokea simu yangu nikamwambia yes.akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.Akaniuliza i umefungua whatsapp nikamjibu i ndio.alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu.eti nilichokitata ndio nilichokiona tatizo nishmfukuza ila ataki kuondoka.Msaada wenu