Mzee wa badoo yawezekana ushamkula kupitia kule badoo,hahah.Weka namba zake nami nithibitishe kama ni malaya kweli ili nikupe ushauri
UsinambieMzee wa badoo yawezekana ushamkula kupitia kule badoo,hahah.

Huyu atakua pety puseeYaa sijaelewa...hayo maswali, wewe ndio ulikuwa una muuliza, au yeye alikuwa anakuuliza wewe..
Kama ni yeye alikuwa anakuuliza, hizo nguvu alizipata wapi, dah tunatofautiana sana.




we jamaa una kichaaHuyo hajaanza leo. Nimzoefu. Umekuwa ukiishi naye akiwa.hivyo na hukuwa unaumia. Imekuuma kwasababu umeona hayo. Jipe moyo ishi naye kama ulivyokuwa unaishi naye kabla ya kuona ushenzi wake. % kubwa ya wenzetu hao ndivyo walivyo. Utampata wapi ambaye hayuko hivyo?Nimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Sio hivyo mkuu, je kama tayari anao? Na je kama nayeye ndiye alianza hivyo lazima kuna sababu, laaa nitabia yake hivyo kama kumuacha afanye taratibu amuache lakini watoto nao huwa ni kikwazo sana kufanya maamuziAkimletea UKIMWI cz alimpenda haina shida sio ili awaache watoto yatima na hao wahuni...mkuu naona na wewe una mawazo kama ya mleta mada pole sana
Sababu gani usichunguze mkuu,inamaanisha mabaya tuyafungie machoMaisha yamebadilika sana Ndugu
Kamwe usijaribu kushika simu ya mwanamke umpendae au mke wako.
Kamwe kamwe usijaribu hicho kitu
Utakayo yaona humo yanaweza kukuadhiri kisaikolojia kwa muda wote wa maisha yako
Wanawake hawa wa kitanzania wa sasa wapo kwenye kipindi cha mpito cha kuiga vitu vinavyofanywa na wanawake wa kizungu. Ni katika kipindi hichi ndipo sisi wanaume tutaumia sana!!!!
Bado unaakili za kitoto. Kumfukuza mke wako unataka atoke kwa greda. Piga mbwa huyo. Atatoka mwenyewe. Inavyoonyesha wewe ndo kakuoaNimeoa muda mrefu sana na nilikua nampenda sana mke wangu, watoto wangu nilikua simfutilii hata simu yake sishiki.
Kuna siku nilikua najisikia vibaya nikawa sijaenda kibaruani yeye akaenda sokoni domini aliacha chaji ikawa inapigiwa sana jina linalokuja dada.
Kwakua huyo dada yake namjua jina nikapokea duh sauti ya kiume na akakata simu kucheki WhatsApp mke wangu kamtumia picha za ajabu uchi wa mnyama.
Sikumuuliza alivyo rudi akachukua simu yake akaona kuna mtu kapiga akatoka nje alivyorudi ananiuliza ulipokea simu yang? Nikamwambia ndio akanuliza kwa nini nipokee nikamjibu dada yako fulani alikua anapiga sana nikaona labda atakua na tatizo.
Akaniuliza umefungua WhatsApp nikamjibu ndio, alichoniambia ndio nachoomba ushauri kwenu. Eti nilichokitaka ndio nilichokiona tatizo nishamfukuza ila hataki kuondoka.
Msaada wenu
Kaka, husisha ndugu wa ke. Kama ni wastaarabu hakika huko mbeleni hutapata lawama. Hapo ni kumwaga mdoga na ugali.Ukihusisha ndugu kamwe huwezi kumuacha.