Mke kuthamini ndugu zake kuliko Mume

Mke kuthamini ndugu zake kuliko Mume

Hamnaga mke kuthamini ndugu kuliko mume, ila mke kuthamini dudu la nje kuliko la mme wake hiyo ndo ipogo...ndo kinachokutokea, ila piga moyo konde ndo uvumilivu wa ndoa huo, kuwa mvumilivu yataisha tu haya mkuu.
 
Karibu kwenye chama
Thank you mkuu
images.jpg
 
Miaka mitano unaacha mwanamke mjini na wala hajigusi kuja kukusalimia ndo unatafuta ushauri saa hizi? Kunae mwenzie huku mjini anammalizia shida zake. Kalagabaho
Hata mm nimeona hivyo. Haiwezekani kabisa
 
Binadamu bwana tuna expectations za ajabu....yaani wee upo boda hhuko alafu bado unatsgemea Kuna ndoa mkishakaa mbali mbali. Mweee.....
 
Wakuu inakuaje Mke anathamini na kusikiliza ndugu zake kuliko mumewe? Mfano, nilihamishiwa kikazi Namanga miaka 5 iliyopita (Mke akabaki Dar lakini Mke hajawahi kuja kunitembelea hata mara 1 japo mm najitahid kila mwezi naenda kusalimia Dar. Nikiuliza anadai yupo bize. La ajabu mara kadhaa anasafiri kwenda Mwanza kumuuguza mjomba (mwenye Mke na watoto). Nimeduwaa, nimeamua kuwa mpole kwa muda ili kupisha hasira hii

Kupanga ni kuchagua, baada ya kummudu mke wako na kumrekebisha unakuja huku, sisi ndo mke wako? mtu kama wewe anaitwa Dhaifu
 
Huna mke hapo jitahidi kumwondoa akilini na endapo utafanikiwa mwache kabisa aende zake.
 
Back
Top Bottom