Umeiweka wapi talaka ya mwenzio,mpe bhanaJamani wana jamvi nomba ushauri juu ya mke wangu anomba talaka wakati anujauzito inshu iko ivi mm nilisafili kwa muda usio pungua mieezi6 nilikuwa na mtumia ela kila siku saizi kanipanga anataka kuniacha.
Labda mimba imekuchukia au sio yako au labda Ni kichaa Cha mimba..... CHUNGUZA
Wenge la mimba hilo mkuu. Shirikisha wazee, halafu jifanye kukiri makosa ya kumkosea yeye hata kama mwenye makosa ni yeye.Jamani wana jamvi nomba ushauri juu ya mke wangu anomba talaka wakati anujauzito inshu iko ivi mm nilisafili kwa muda usio pungua mieezi6 nilikuwa na mtumia ela kila siku saizi kanipanga anataka kuniacha.
Amejisalimisha,mimba sio yakoJamani wana jamvi nomba ushauri juu ya mke wangu anomba talaka wakati anujauzito inshu iko ivi mm nilisafili kwa muda usio pungua mieezi6 nilikuwa na mtumia ela kila siku saizi kanipanga anataka kuniacha.
Kichaa cha mimba tunakijua vyema?Hakihusiani na kurukwa akili wala kujichetua.Labda mimba imekuchukia au sio yako au labda Ni kichaa Cha mimba..... CHUNGUZA
Jamani wana jamvi nomba ushauri juu ya mke wangu anomba talaka wakati anujauzito inshu iko ivi mm nilisafili kwa muda usio pungua mieezi6 nilikuwa na mtumia ela kila siku saizi kanipanga anataka kuniacha.
Jamani wana jamvi nomba ushauri juu ya mke wangu anomba talaka wakati anujauzito inshu iko ivi mm nilisafili kwa muda usio pungua mieezi6 nilikuwa na mtumia ela kila siku saizi kanipanga anataka kuniacha.