Mke kuomba talaka wakati mjamzito imekaaje

Mke kuomba talaka wakati mjamzito imekaaje

Wewe andika mpe,kwanza kakuonea huruma miezi sita kagegedwa na mimba juu ,sasa bado unashangaa nini au mpaka uone mtoto kazaliwa kichwa kama tikiti ndio uanje kulia lia kuwa sio wako
 
Je ujauzito ni wako? Ujue pia mwanaume aachwi...
Jamani wana jamvi nomba ushauri juu ya mke wangu anomba talaka wakati anujauzito inshu iko ivi mm nilisafili kwa muda usio pungua mieezi6 nilikuwa na mtumia ela kila siku saizi kanipanga anataka kuniacha.
 
Back
Top Bottom