Mke kuomba talaka wakati mjamzito imekaaje

Mke kuomba talaka wakati mjamzito imekaaje

huyu dada ataiona pepo,
Fanya hivi ongeza matendo mema kwa wazazi wake ,ndugu na marafiki zake na jifanye kipofu kuhusu ujauzito huyo baada ya kukusaliti anataka apunguze aibu ya kuzaa nje kuwa aliachana ndo akabeba mimba usimtaliki hadi mtoto azaliwe awe na mwaka aumbuke vizuriiiiiiiiiiii
 
Acha uzwazwa mzee baba usitoe talaka hawa viumbe wakiwa na mimba akili zao zinakua matakoni yaani akijamba zinatoka.
Tena bora ukonae mbali ungekua upona home ndio ungejionea kila aina ya rangi.
Mfano; Kuna muda mtu umetoka kazini upo hoi kwa uchovu halafu yeye tumbo lake anataka usioge yaani ulale na majosho yako kisa tu anapenda harufu ya jasho.
 
Hiyo Mimbaa sio Yakooo...!! Nenda mkapime mimba ina muda gani hapo ndo utaujua ukweli...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wanawake noma mzee shetani mwenyewe amewanyoshea mikono
 
Ungesema umri wa hiyo mimba tungekupa ukweli lakini haukutaja hii inawezekana kabisa hill tumbo hukuliacha wewe sasa anaona akishusha kiumbe labda kitafanana na Kim,shakrabot,mahfudh,shimhwa,au omera.kaona itakuwa NOUMA Bora ukajichimbie kwa mwenye mzigo
 
Asante mkuu nalifanyia kazi
huyu dada ataiona pepo,
Fanya hivi ongeza matendo mema kwa wazazi wake ,ndugu na marafiki zake na jifanye kipofu kuhusu ujauzito huyo baada ya kukusaliti anataka apunguze aibu ya kuzaa nje kuwa aliachana ndo akabeba mimba usimtaliki hadi mtoto azaliwe awe na mwaka aumbuke vizuriiiiiiiiiiii
 
Hahaaaa aya bwana
Acha uzwazwa mzee baba usitoe talaka hawa viumbe wakiwa na mimba akili zao zinakua matakoni yaani akijamba zinatoka.
Tena bora ukonae mbali ungekua upona home ndio ungejionea kila aina ya rangi.
Mfano; Kuna muda mtu umetoka kazini upo hoi kwa uchovu halafu yeye tumbo lake anataka usioge yaani ulale na majosho yako kisa tu anapenda harufu ya jasho.
 
Mhh
Hiyo Mimbaa sio Yakooo...!! Nenda mkapime mimba ina muda gani hapo ndo utaujua ukweli...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wanawake noma mzee shetani mwenyewe amewanyoshea mikono
 
Miez 7
Ungesema umri wa hiyo mimba tungekupa ukweli lakini haukutaja hii inawezekana kabisa hill tumbo hukuliacha wewe sasa anaona akishusha kiumbe labda kitafanana na Kim,shakrabot,mahfudh,shimhwa,au omera.kaona itakuwa NOUMA Bora ukajichimbie kwa mwenye mzigo
 
Cha ajabu pa1 na mbwebwe zote hizo lkn haijawahitokea mimba kuchukia pesa...hivi nasema kweli au natania...[emoji848][emoji87]
 
ulienda kupima nae na ukakuta Ni miezi saba au kakwambia yeye???? Kama kweli means ulimpa mimba kabla ya kusepa so kama kweli ulisex nae kabla ya kusepa inawezekanaa..
 
Hiyo miezi 7 kakutamkia yeye?? Kama vp nenda nae hosp. jidhihirishie umri wa mimba..Possibly mimba uliiacha.

Kama ni chini ya miezi 6 usitoe talaka kabla ya kuwahusisha wazazi wa pande zote mbili.
 
Bro hawa viumbe wanahitaji uwe makini na utumie akili ya ziada. Mana Kuna jamaa kitaa aliombws talaka na mkewe ambae alikua mjamzito. Kumbe kilicho mfanya aombe talaka ni kwamba mimba si ya mumewe na ameomba talaka kuikimbia aibu asee.

Mwisho wa siku mke akatoroka na ishu ikajulikana
 
Bro hawa viumbe wanahitaji uwe makini na utumie akili ya ziada. Mana Kuna jamaa kitaa aliombws talaka na mkewe ambae alikua mjamzito. Kumbe kilicho mfanya aombe talaka ni kwamba mimba si ya mumewe na ameomba talaka kuikimbia aibu asee.

Mwisho wa siku mke akatoroka na ishu ikajulikana
Angesubiri jamaa aleee tu[emoji23][emoji23][emoji23] Alafu anazaa mtoto kafanana na jiranii
 
Jamani wana jamvi nomba ushauri juu ya mke wangu anomba talaka wakati anujauzito inshu iko ivi mm nilisafili kwa muda usio pungua mieezi6 nilikuwa na mtumia ela kila siku saizi kanipanga anataka kuniacha.
Iyo mimba yangu mkuu, ndo maana anakuacha..inatakiwa ujue fimbo ya mbali haiui nyoka nisamehe bure mkuu maana mi naoa mama kijacho wangu
 
Usitoe talaka ila mruhusu aende kwao akapumzike mwambie utamletea huko huko talaka yake, itisha kikao cha familia mtayaongea mtayamaliza na kurudi wote kwenu.

Ujauzito shida sana ninayoyaona siri yangu.
Jamani
 
Back
Top Bottom