Mke kumshonea mume wake mashati ya vitenge

Mke kumshonea mume wake mashati ya vitenge

Ndondoo,
ukishaona hivyo ujue uzee ndio ushawanyemelea hamna cha kupoteza tena,khaaaah mimi nishonewe kitenge walahi kutachimbika siku hiyo walah
 
Uzi unazungumzia mashati vitenge ila we umezungumzia nguo za kushona bila kuspecify

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nilikuwa namanisha siwezi kuvaa namba 2 Ila namba moja navaa
PicsArt_02-17-10.26.44.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sie tunaonaga fahari sana kuvaa sare na mume, tunawaringishia ambao hawajaolewa halafu tunavaa kwenye matukio makubwa makubwa ikiwezekana tunashikana na mikono, halafu ananifungulia mlango wa gari nikitaka kushuka au kupanda halafu tukishuka tunafanta Kama vile shati lake limekaa upande namtengenezea na yeye anainama kutengeneza sketi au hata kupangusa kidogo kana kwamba kuna takataka baada ya kumaliza mbwembwe ananikiss halafu ananishika mkono tuelekee tunakoingia yaani hapa mie huwa nazimia kwa mahaba yaani najiona Niko paradiso kabisa
Sema hii huwa ni bonge la feki maana atatoka na hichohicho kitenge ataenda kwa mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inaonyesha kupendana,kushauriana na kusikilizana.Kama hakuna upendo ni ngumu kumshauri mwenzio kuvaa sare .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli,jaribu tu kutafakari wewe na mkeo hamuivi,halafu mnatoka unamuona mwenzio kavaa kitenge na wewe unatafuta kinachofanana na chake unavaa,hiyo ni next to impossible.Ukiona wamevaa hivyo vitenge vya kufanana ujue kabisa kuwa kuna element ya kupendana...
 
Habari ndugu wataalam wa ndoa na saikolojia?

Hivi huwa kuna tafsiri gani ya kisaikolojia mwanamke kumshonea mume wake mashati ya vitenge na hata kitenge kununuliwa na kugawanywa moja anashona gauni na kipande kingine shati la mume!!

Wengine wanasema ni dalili za mwanaume kutawaliwa na mke wake. Je nini mitazamo yenu katika hili hasa wale wazoefu wa mambo ya ndoa!
Ni mapenzi tu hakuna la zaidi! Tena mimi huwa nanunua vitenge pc 3, nashina mm, Mr shati na vitoto vyetu mapacha teh teh.
 
Sie tunaonaga fahari sana kuvaa sare na mume, tunawaringishia ambao hawajaolewa
emoji1787.png
halafu tunavaa kwenye matukio makubwa makubwa
emoji13.png
ikiwezekana tunashikana na mikono
emoji1.png
, halafu ananifungulia mlango wa gari
emoji23.png
nikitaka kushuka au kupanda
emoji8.png
halafu tukishuka tunafanta Kama vile shati lake limekaa upande namtengenezea
emoji14.png
na yeye anainama kutengeneza sketi au hata kupangusa kidogo kana kwamba kuna takataka
emoji28.png
baada ya kumaliza mbwembwe ananikiss
emoji12.png
halafu ananishika mkono tuelekee tunakoingia
emoji38.png
yaani hapa mie huwa nazimia kwa mahaba
emoji849.png
yaani najiona Niko paradiso kabisa
emoji41.png

Sema hii huwa ni bonge la feki maana atatoka na hichohicho kitenge ataenda kwa mwingine
emoji134.png
Hivi haya yapo kabisa laivu yanatokea???Mi najua ni maigizo tu katika tamthilia, filamu na bongo muvi….Maigizo hayo sijawahi kufikiria kabisa yaani nimfungulie mlango asiye mlemavu???
 
Back
Top Bottom