Mke kumshonea mume wake mashati ya vitenge

Mke kumshonea mume wake mashati ya vitenge

Kuvaa sare na mke wako naamini ni ishara ya upendo na si vinginevyo.
 
Mimi na mpenzi wangu tupo level hii..ya vitenge tushavuka
255675945742_status_deef7db3b19c457d93ed13363b148959.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko ndio hawashoni? Nguo yoyote imeshonwa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shukrani kwa kusaidia kuelewesha, ila huyu jamaa haelewesheki. Mtu aliyeelimika huwa anakubali kukosolewa pale alipokosea, lakini huyu jamaa hajielwi hata anaandika nini? Akieleweshwa anajidai mjuaji ndio maana nikaachana nae. Mtu unamfunika yeye anajifunua, mwisho wa siku unaliacha likae uchi watu walicheke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilishonewaga hayo mashati na manzi yangu fulani...sasa kukiwa na mtoko nisipo vaa sare na yeye ni ugomvi mkubwa mnooo...
 
Ila ni kitu kizur...inaonyesha namna gani mnapendana...
 
Back
Top Bottom