Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,477
Hayo ni mapenzi mubashara tu ila kwa wale wenzangu mimi ambao hawajui mapenzi wanaweza kutafsiri watakavyo.Habari ndugu wataalam wa ndoa na saikolojia?
Hivi huwa kuna tafsiri gani ya kisaikolojia mwanamke kumshonea mume wake mashati ya vitenge na hata kitenge kununuliwa na kugawanywa moja anashona gauni na kipande kingine shati la mume!!
Wengine wanasema ni dalili za mwanaume kutawaliwa na mke wake. Je nini mitazamo yenu katika hili hasa wale wazoefu wa mambo ya ndoa!