Mke kumshonea mume wake mashati ya vitenge

Mke kumshonea mume wake mashati ya vitenge

Ninajiuliza kama huvai nguo za kushona unavaa nguo zilizofanyaje. Kwa uelewa wangu mdogo nguo zote zinashonwa ila materials ndio tofauti. Ndio maana mleta mada akawa specific kwa kutaja vitenge. Labda unifafanulie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ana maana kushonwa anaiona au bado ana mawazo ya watoto wanadhani mchele utengenezwa kiwandani.
 
Asante sana mkuu kwa comment yako. Ndio maana nimechana nae maana nimeona kama bado hajitambui hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio ujitambui,

zinazungumziwa nguo zakushonwa Kama vitenge , wewe unazungumia jeans, flana,

uzi upo wazi kabisa kushona sare na mkeo nguo za vitenge, ivi utaingia dukani kushona jeans sare na mkeo

au utaingia dukani kushona sare ya chupi na mkeo, ko nikisema chupi aishonwi utonielewa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kitu siipendi kuvaa sare, sio tu kitenge hata sare zingine!!!Kila mtu avae apendacho. kama ni upendo uoneshwe katika mengine!!!Hata nikiona wengine wamevaa hizo sare huwa siwaelewi
 
Back
Top Bottom