Mke kuficha hati ya kiwanja/nyumba

Ila bana haya maisha yanatofautiana sana kuna mwanaume anaweza hata kujenga ukweni na anaona kawaida sana becoz asset sio kitu kwake labda pia ni kutokana na kutofautiana kipato...

Kuna jirani yangu yeye kamjengea mama mkwe nyumba tena nyumba ya gorofa moja huyo ni mama wa mke wake yan vitu vya nyumba sijui viwanja kwake anaona vya kawaida akikuta watu wanagombana kuhusu nyumba sijui ardhi ana washangaa labda ni vile Mungu kambariki kwa kweli pesa anayo yan sio ya kuungaunga...wakuu tutafute pesa tuache kulialia
 
Wananzengo salamu kwenu.

Kuna jambo nakaa nalifikiria sipati jibu na sijui mwenzangu anawaza nini na ana nia gani.

Nilikuatana na huyu mwanamke mwaka 2011 nikiwa chuo na Yeye yupo tu kitaa baada ya muda akafanikiwa kupata kazi tukaendelea kuishi na kupata watoto hadi mwaka jana tulipofunga ndoa ya kiserikali maana tumetofautiana imani na hakuna Kati yetu aliye tayari kumfuata mwenzake.

Kimsingi huyu mwanamke alinunua kiwanja baada ya kukopa hela then akaanza ujenzi na mimi nikaweka hela yangu kidogo ninayopata na nilichukulia hii nyumba ni mali ya familia kwa maana tuna watoto watatu.

Sasa hivi karibuni mwenzangu kaichukua ile hati ya kiwanja na sijui kaipeleka wapi,actually imeandikwa jina lake Mimi nipo kama shahidi.

Ndoa yetu kwa sasa imekua ya migogoro sana natunaishi kwa mazoea tu na isitoshe tunaishi mikoa tofauti japo ya jirani.

Sasa kitu kinachonishangaza ni huyu mwanamke kuficha hati ya kiwanja Ili hali tumeamua kufanya hii mali iwe ya familia ina maana watoto sasa Yeye anapoficha hiyo hati likija la kutokea mi nitajua hiyo hati ipo wapi!!? Kama kitu tumeamua kiwe cha familia sioni haja ya kuanza kuficha document muhimu kama hati.

Niliwahi kumuuliza ile hati ipo wapi mbona tangu tumetoka kugonga mhuri kwa mwenyekiti siioni humu ndani ananipiga kiswahili tu.

Mimi naishi kwenye hii nyumba na yeye yupo mkoa jirani kikazi yupo pamoja na watoto.

Je huyu mwanamke yupo sawa kweli kuficha hiyo hati!!? Ili hali tumefunga ndoa na tuna watoto tayari. Sijui Nia yake nini nahitaji ushauri niishi nae vipi huyu mtu manake anaonekana ana ubinafsi mkubwa sana.
Kuna mahala hauaminiki tena Mkuu. Hati utaiona atakapotoka/atakapohama huko mkoa wa jirani na kuishi hapo kwenye nyumba mliyojenga pamoja kama mama mwenye nyumba.
 
Wananzengo salamu kwenu.

Kuna jambo nakaa nalifikiria sipati jibu na sijui mwenzangu anawaza nini na ana nia gani.

Nilikuatana na huyu mwanamke mwaka 2011 nikiwa chuo na Yeye yupo tu kitaa baada ya muda akafanikiwa kupata kazi tukaendelea kuishi na kupata watoto hadi mwaka jana tulipofunga ndoa ya kiserikali maana tumetofautiana imani na hakuna Kati yetu aliye tayari kumfuata mwenzake.

Kimsingi huyu mwanamke alinunua kiwanja baada ya kukopa hela then akaanza ujenzi na mimi nikaweka hela yangu kidogo ninayopata na nilichukulia hii nyumba ni mali ya familia kwa maana tuna watoto watatu.

Sasa hivi karibuni mwenzangu kaichukua ile hati ya kiwanja na sijui kaipeleka wapi,actually imeandikwa jina lake Mimi nipo kama shahidi.

Ndoa yetu kwa sasa imekua ya migogoro sana natunaishi kwa mazoea tu na isitoshe tunaishi mikoa tofauti japo ya jirani.

Sasa kitu kinachonishangaza ni huyu mwanamke kuficha hati ya kiwanja Ili hali tumeamua kufanya hii mali iwe ya familia ina maana watoto sasa Yeye anapoficha hiyo hati likija la kutokea mi nitajua hiyo hati ipo wapi!!? Kama kitu tumeamua kiwe cha familia sioni haja ya kuanza kuficha document muhimu kama hati.

Niliwahi kumuuliza ile hati ipo wapi mbona tangu tumetoka kugonga mhuri kwa mwenyekiti siioni humu ndani ananipiga kiswahili tu.

Mimi naishi kwenye hii nyumba na yeye yupo mkoa jirani kikazi yupo pamoja na watoto.

Je huyu mwanamke yupo sawa kweli kuficha hiyo hati!!? Ili hali tumefunga ndoa na tuna watoto tayari. Sijui Nia yake nini nahitaji ushauri niishi nae vipi huyu mtu manake anaonekana ana ubinafsi mkubwa sana.
Hiyo sio mali yako hebu kua mwanaume jenga yako,hati ni yake hata kma ulichangia nyumba sio yako....unadhalilisha chama chetu cha mabaharia
 
Wananzengo salamu kwenu.

Kuna jambo nakaa nalifikiria sipati jibu na sijui mwenzangu anawaza nini na ana nia gani.

Nilikuatana na huyu mwanamke mwaka 2011 nikiwa chuo na Yeye yupo tu kitaa baada ya muda akafanikiwa kupata kazi tukaendelea kuishi na kupata watoto hadi mwaka jana tulipofunga ndoa ya kiserikali maana tumetofautiana imani na hakuna Kati yetu aliye tayari kumfuata mwenzake.

Kimsingi huyu mwanamke alinunua kiwanja baada ya kukopa hela then akaanza ujenzi na mimi nikaweka hela yangu kidogo ninayopata na nilichukulia hii nyumba ni mali ya familia kwa maana tuna watoto watatu.

Sasa hivi karibuni mwenzangu kaichukua ile hati ya kiwanja na sijui kaipeleka wapi,actually imeandikwa jina lake Mimi nipo kama shahidi.

Ndoa yetu kwa sasa imekua ya migogoro sana natunaishi kwa mazoea tu na isitoshe tunaishi mikoa tofauti japo ya jirani.

Sasa kitu kinachonishangaza ni huyu mwanamke kuficha hati ya kiwanja Ili hali tumeamua kufanya hii mali iwe ya familia ina maana watoto sasa Yeye anapoficha hiyo hati likija la kutokea mi nitajua hiyo hati ipo wapi!!? Kama kitu tumeamua kiwe cha familia sioni haja ya kuanza kuficha document muhimu kama hati.

Niliwahi kumuuliza ile hati ipo wapi mbona tangu tumetoka kugonga mhuri kwa mwenyekiti siioni humu ndani ananipiga kiswahili tu.

Mimi naishi kwenye hii nyumba na yeye yupo mkoa jirani kikazi yupo pamoja na watoto.

Je huyu mwanamke yupo sawa kweli kuficha hiyo hati!!? Ili hali tumefunga ndoa na tuna watoto tayari. Sijui Nia yake nini nahitaji ushauri niishi nae vipi huyu mtu manake anaonekana ana ubinafsi mkubwa sana.
Huna nyumba hapo mkuu Jenga nyumba yako
 
Hahhaha marahaba we mzee naona unataka kuzidi sasa kunizeesha
Hahahahahaaaaaaa



Kwakuwa umekiri wewe mwenyewe kuwa nataka kuzidi kukuzeesha bas una deni la kuilipa shkamoo yangu kwako na kwakuwa wewe ni mzee mwenzangu bas unajua namna na njia nzuri ya kuilipa hiyo shkamoo yangu kwako
 
Utakuwa na tatizo kwenye ubungo wako Mkuu, yani uchukue hela yako ukajenge kwenye kiwanja cha mwanamke?
 
Wananzengo salamu kwenu.

Kuna jambo nakaa nalifikiria sipati jibu na sijui mwenzangu anawaza nini na ana nia gani.

Nilikuatana na huyu mwanamke mwaka 2011 nikiwa chuo na Yeye yupo tu kitaa baada ya muda akafanikiwa kupata kazi tukaendelea kuishi na kupata watoto hadi mwaka jana tulipofunga ndoa ya kiserikali maana tumetofautiana imani na hakuna Kati yetu aliye tayari kumfuata mwenzake.

Kimsingi huyu mwanamke alinunua kiwanja baada ya kukopa hela then akaanza ujenzi na mimi nikaweka hela yangu kidogo ninayopata na nilichukulia hii nyumba ni mali ya familia kwa maana tuna watoto watatu.

Sasa hivi karibuni mwenzangu kaichukua ile hati ya kiwanja na sijui kaipeleka wapi,actually imeandikwa jina lake Mimi nipo kama shahidi.

Ndoa yetu kwa sasa imekua ya migogoro sana natunaishi kwa mazoea tu na isitoshe tunaishi mikoa tofauti japo ya jirani.

Sasa kitu kinachonishangaza ni huyu mwanamke kuficha hati ya kiwanja Ili hali tumeamua kufanya hii mali iwe ya familia ina maana watoto sasa Yeye anapoficha hiyo hati likija la kutokea mi nitajua hiyo hati ipo wapi!!? Kama kitu tumeamua kiwe cha familia sioni haja ya kuanza kuficha document muhimu kama hati.

Niliwahi kumuuliza ile hati ipo wapi mbona tangu tumetoka kugonga mhuri kwa mwenyekiti siioni humu ndani ananipiga kiswahili tu.

Mimi naishi kwenye hii nyumba na yeye yupo mkoa jirani kikazi yupo pamoja na watoto.

Je huyu mwanamke yupo sawa kweli kuficha hiyo hati!!? Ili hali tumefunga ndoa na tuna watoto tayari. Sijui Nia yake nini nahitaji ushauri niishi nae vipi huyu mtu manake anaonekana ana ubinafsi mkubwa sana.
Imekula kwako mkuu mali yako ni ya wote ila yake ni yake pekee tafuta hela unua kiwanja jenga nyumba ya familia
 
Hivi unawezaje kujenga kwenye Kiwanja cha mwanamke?????? Kuishi na mwanamke aliekuzidi kipato haya ndo majanga yake..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom