Heheheee! Kwa hiyo umepata uhuru wa bendera?! Furahia uhuru wako kaka. Sikujua kuwa kuna mfumo-jike pia!!
Aaaaaaah afrodenzi, ni moja tu...
Alaf leo kaijua, nadhan ataanza na yeye kuingia humu aniangalie nina-post nin..
So inabid niwe makin aisee, habar za mke hanielewi, mara nyumba ndogo inanitesa, au nina mtoto wa nje, au niko njia panda....
Siruhusiwi eti
Aaaaaaah afrodenzi, ni moja tu...
Alaf leo kaijua, nadhan ataanza na yeye kuingia humu aniangalie nina-post nin..
So inabid niwe makin aisee, habar za mke hanielewi, mara nyumba ndogo inanitesa, au nina mtoto wa nje, au niko njia panda....
Siruhusiwi eti