Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,378
Wakuu salaam kwenu,
Nipo nawaza na kuwazua juu ya huyu mke wangu.
Miezi michache nyuma tulipishana kidogo, sasa tangu wakati huo hadi sasa kila akija hapa home hataki kulala na mimi chumba kimoja, yeye analala na watoto.
Kimsingi hatuishi pamoja, tunakutana zaidi kipindi cha likizo, sasa baada ya kuhitilafiana siku kadhaa nyuma na yeye kuanza kulala na watoto nikajua awamu hii akija home atabadilika.
Ila cha ajabu bado ameonesha msimamo wa kutotaka kulala na mimi chumba na kitanda kimoja na ukiangalia tulihitilafiana kwa masuala madogo sana. Sasa nashangaa mwenzangu hadi sasa bado ana bifu, sijui ndo anatafuta sababu ya kuvunja ndoa, sijui anatafuta nini, sielewi nimebaki njia panda?!
Wadau nimfanyaje huyu mtu, maana kama kuzungumza nae kipindi tumegombana tulishazungumza ila naona kama bado mwenzangu ana kitu moyoni mwake? Nifanyaje??
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Nipo nawaza na kuwazua juu ya huyu mke wangu.
Miezi michache nyuma tulipishana kidogo, sasa tangu wakati huo hadi sasa kila akija hapa home hataki kulala na mimi chumba kimoja, yeye analala na watoto.
Kimsingi hatuishi pamoja, tunakutana zaidi kipindi cha likizo, sasa baada ya kuhitilafiana siku kadhaa nyuma na yeye kuanza kulala na watoto nikajua awamu hii akija home atabadilika.
Ila cha ajabu bado ameonesha msimamo wa kutotaka kulala na mimi chumba na kitanda kimoja na ukiangalia tulihitilafiana kwa masuala madogo sana. Sasa nashangaa mwenzangu hadi sasa bado ana bifu, sijui ndo anatafuta sababu ya kuvunja ndoa, sijui anatafuta nini, sielewi nimebaki njia panda?!
Wadau nimfanyaje huyu mtu, maana kama kuzungumza nae kipindi tumegombana tulishazungumza ila naona kama bado mwenzangu ana kitu moyoni mwake? Nifanyaje??
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app