Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
...aaarrgghh,
anasema tu huyo. (kumradhi Roman Catholics 'wenzangu')
Angeruhusiwa kuoa na kuujua 'moto' wake hata yeye angeisamehe hiyo 'one way ticket' to Peponi.
mbona sijaona mnachopingana na padre? Kakubali kuwa ndoa ni mkiki na anashangaa kila leo watu wanaoana