de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 11,756
- 23,563
Hapana lakini hiyo channel haina kipindi kimoja. Ni wewe kubadili vipindi tu kwenye channel hiyo hiyoWewe unaweza kutazama channel moja muda wote? 😹
Hapana lakini hiyo channel haina kipindi kimoja. Ni wewe kubadili vipindi tu kwenye channel hiyo hiyoWewe unaweza kutazama channel moja muda wote? 😹
Acha kudhalilisha wanaume, eti wanaume Kibao wanapumuliwa? Wewe ni mmoja wao?Huyo mwanamke anaacha kushukuru mume wake hana mume mwenzie.. Ye anamfanyia figisu rijali kamili 100% hajui siku hizi wanaume kibao wana wanaume wao.
Angekuta jumbe za mumewe anapumuliwa si angejiua huyu
Sasa kama mke kaondoka, si ndio jamaa aendelee na life lake.. kwa amani
X wako si mmeshamalizana.Hiyo story ilikuwa Facebook 😹
Sema hata mimi nna mpango wa kuunga wake mademu wa ex wangu nicheke..!!
Sasa kama mke kaondoka mwenyewe afanyaje ?Hivi unahisi ni rahisi namna hii?.
jamaa ana michepuko 7. Kwahiyo jamaa ni Malaya,.
Ila kwake anayempenda na kumtaka ni mke wake ambaye ana watoto watatu nae.
Hawa wengine ni tamaa tu za kimwili.
Pengine alikuwa anajua kuna kitu kigen atakutana nacho kwa hao 7 wa nje. Kumbe ni yale yale tu.
Kuna wanaume kuwa na wanawake nje ni Hulka. Na sio kwamba ana mapenzi na hao michepuko.
Na utakuta ni wa hovyo zaid ya mke wake.
Sasa kama mke kaondoka mwenyewe afanyaje ?
Na kama mke kaenda huko kutiwa 😎😎
Huwezi toa mawazo ya kwamba hajaenda kugongwa wakati wapo wanaofanya hivyo.Mwanamke kukulipizia kama umecheat hiyo inabidi ukubaliane nayo. Na hauwezi kujua ni lini kafanya hivyo.
ila wanawake wako smart, hasa hawa wake za watu. Anaweza akatoka kwako na akaenda hata kwa ndugu zake au ndugu zako wa karibu , akawahadithia nn kimetokea na akawaambia wasikuambie yeye yuko wapi.
Kwahiyo ww unapiga simu kumuulizia, wanasema hawajui kumbe wakat ni hao hao wanajua yeye yuko wapi.
Ishatokea hii kwa watu wawili ninaowafahamu.
Kwahiyo Mawazo ya Sijui kaenda kwa mwanaume yatoe.
Kweli kabisaNa mwanaume mwenzetu naye ni mpumbavu tu. Michepuko 7 yoe hiyo ya nini? Unataka kugundua nini? Haya ndiyo madhara ya kutotembeza mkia wakati wa ujana!
Maisha yapi waendelee nayo?X wako si mmeshamalizana.
Kila mfalme na zama zake.
Waache waendelee na maisha yao.
DahWewe unaweza kutazama channel moja muda wote? 😹
Mwana mpotevu umeonekana..!! 😹
Ma mkali!! Chino ana ku miss sanaMwana mpotevu umeonekana..!! 😹
Je huyu mwanamke ni mjinaMwanamke mjinga ataivunja ndoa yake, Kwa mikono yake yeye mwenyewe.
Ni mstari uko ndani ya Biblia
StakiiiMa mkali!! Chino ana ku miss sana
Nimekoma Mimi sirudii tena.Stakiii