Mke atanikimbiza nyumba

Mke atanikimbiza nyumba

kama ndo kwanza mna miaka 5 ushawaza kukimbia nyumba ujue kuna tatizo sana. Mueleze concern yako mkeo kama haelewi tafta hata watu wa busara unaodhan wanaweza kumshawish wamueleze labda atabadilika. Anakuwa kama yeye ni mpitaji tu familia si yake, kama anakukomoa.
 
Kimbia tu mwaya rudi kwenu mke gani ana makelele kama vuvuzela
 
Kabla ya kumuacha, pima huyo unaempigia mahesabu ana mapungufu yapi? Je utayavumilia.
^^
 
Siku hizi wanacheza vikoba,
Kila siku kuchangia elfu mbili hadi tano.

Hilo la kusema sana ni tabia ya mtu,
jaribu kumwelimisha tu.
 
Buana
wewe kimbia tu si nyumba yako !!!
leta wasifu wako!!!!!
 
Mfundishe na umpe misimamo yako, ikishindikana mfiche kuhusu kipato chako usiwe transparent kabisaa, then fanya mipango ya maana I hope baada ya Hapo atakuelewa
 
Kukimbia sio suluhu tafuta namna ya kutatua tatizo sio kulikimbia
Mshirikishe mkeo malengo yako kwa familia kama ni kujenga au biashara au chochote mwambie mkeo malengo hayawezi timilika ukifanya peke yako yeye ana msaada mkubwa hasa anapopanga budget vizuri ya mahitaji ya nyumbani.
Mfanye awe busy hata na kibiashara chochote umbea na makelele yatapungua.
 
Siku Zote Mkimbia Tatizo Si Suluhu, Muhimu Pata Muda Ongea Namkeo Mweleze Kero Zako Kwanza Kabla Yakutafuta Suluhu Nje, Kama Nimwelewa Atajirekebisha Kama Asipobadilika Kuna Wadhamini, Wazaz,naiman Hapataharibika Kitu, Ukikimbia Nan Alee Wanao? Ukitoka Nje Ukimwi Unakuita Kamwe Usisaliti Ndoa
 
Nina mke wa miaka mitano na kujaliwa na watoto watatu.

Tatizo la mke, hajui budget ya nyumbani, akigundua unahela atahakakisha imetumika yote bila kujali kesho, ana tabia ya kuandika uongo kwenye maitaji ili apate cha juu.

Ukimkabidhi hela ya matumizi ya nyumbani atatumia nusu na atasema hana hela.

Mbaya zaidi ukikorofishana kidogo ataongea kwa sauti zaidi ya masaa 2.

Kupata unyumba kwake mpaka yeye ndo aanze, ukiparamia utakuta ukavu ya hali ya juu na kuishia kuwa disappointed tu, cha kifupi mwanamke anapenda sana umbeya, anaongea kwa sauti kama yeye ndo baba wa nyumbani na anapenda sana kelele na ugomvi ugomvi na watu.

Ninfanyeje, nikimbia home au nivumilie.

Naomba ushauri please

hapo kwenye unyumba tafuta ky jelly tu. shida yako si upunguze mastress?
 
Wanawake wa aina hiyo wapo, ukiwa na hela anaitumia kama kesho haipo, hata ukimfungulia biashara inakufa bika kujua, hapo hakuna njia au msaadamni wewe kujiongeza asikujue ndani nje kuhusu kipato chako, hii ni principle mwanamke hatakiwi kujua income yako yote, hata ukiishiwa hatajua mzoeshe maisha aina zote leo anakuona uko na pesa ila unamwambia leo utapika tembele na ugali, I mean asikuelewe elewe mtaishi poa sana.
Kwenye swala la sex, nafikiri anaweza kuwa amepoteza appetite na wewe so ni jukumu lako kutafuta namna ya kumrudisha relini, badilisha mandhari ya tendo lenyewe kunaweza kuwa na mabadiliko,.au mtu wangu unachapiwa kimtindo.
 
Ndio shida ya kupalamia wanawake wa KISWAHILI ....yaani ni shedaaaah.
 
Last edited by a moderator:
Nina mke wa miaka mitano na kujaliwa na watoto watatu.

Tatizo la mke, hajui budget ya nyumbani, akigundua unahela atahakakisha imetumika yote bila kujali kesho, ana tabia ya kuandika uongo kwenye maitaji ili apate cha juu.

Ukimkabidhi hela ya matumizi ya nyumbani atatumia nusu na atasema hana hela.

Mbaya zaidi ukikorofishana kidogo ataongea kwa sauti zaidi ya masaa 2.

Kupata unyumba kwake mpaka yeye ndo aanze, ukiparamia utakuta ukavu ya hali ya juu na kuishia kuwa disappointed tu, cha kifupi mwanamke anapenda sana umbeya, anaongea kwa sauti kama yeye ndo baba wa nyumbani na anapenda sana kelele na ugomvi ugomvi na watu.

Ninfanyeje, nikimbia home au nivumilie.

Naomba ushauri please

Samahani, nakuchana live. Tatizo hapo ni umaskini. Usipoongeza kipato cha kumlisha huyo wife wako mwenye appetite ya pesa kuliko unayoweza kuchuma basi ujue hawa washenzi (mabrazameni/papa) watakula mzigo.
 
Nina mke wa miaka mitano na kujaliwa na watoto watatu.

Tatizo la mke, hajui budget ya nyumbani, akigundua unahela atahakakisha imetumika yote bila kujali kesho, ana tabia ya kuandika uongo kwenye maitaji ili apate cha juu.

Ukimkabidhi hela ya matumizi ya nyumbani atatumia nusu na atasema hana hela.

Mbaya zaidi ukikorofishana kidogo ataongea kwa sauti zaidi ya masaa 2.

Kupata unyumba kwake mpaka yeye ndo aanze, ukiparamia utakuta ukavu ya hali ya juu na kuishia kuwa disappointed tu, cha kifupi mwanamke anapenda sana umbeya, anaongea kwa sauti kama yeye ndo baba wa nyumbani na anapenda sana kelele na ugomvi ugomvi na watu.

Ninfanyeje, nikimbia home au nivumilie.

Naomba ushauri please


Hajui bajeti ya nyumbani kwa sababu mkuu wa nyumba hana mpangilio wa matumizi
Anaongeza cha juu kwa sababu ya ubahili wako ukiambiwa zinatakiwa elf moja unatoa mia saba.
Anakuwa mkavu kwenye unyumba sababu haandaliwi inavyopaswa, anaparamia tu
Anaongea sana kwa sababu anakorofishwa sana.
Ni mbeya mtaani ili ajifariji kwa bugu lako.
Acha ufala wewe, utaikimbiaje nyumba yako?
vumilia huku ukiweka mambo sawa, jirekebishe
 
Back
Top Bottom