mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
Mi kutokana na kuishi kwingi kuona mengi, nilishakuwa na conclusion yangu, hakuna mwanamke asiyehitaji ndoa, ila wengi wao hawawezi kuzihudumiaMara leo sijiskii, kesho nimechoka, kesho kutwa tumba linauma. Kweli tutaacha kuchepuka? Hakika mwanamke akikutana na mme wake kwa wiki kama mara nne. Si rahisi kwa Mume kuchepuka hovyo.