Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Aise. Umewahi kujadiliana hilo na mwenzako kujua shida ninimkuu wangu inakataga mwez na nusu miwili sijaonja kabisa mpaka hisia zinakaribia kufa
Aise. Umewahi kujadiliana hilo na mwenzako kujua shida ninimkuu wangu inakataga mwez na nusu miwili sijaonja kabisa mpaka hisia zinakaribia kufa
Miezi miwili mingi sanakwanin mkuu
Aise. Umewahi kujadiliana hilo na mwenzako kujua shida nini
Miezi miwili mingi sana
Bora we unachepuka afu unamuacha,Mara leo sijiskii, kesho nimechoka, kesho kutwa tumba linauma. Kweli tutaacha kuchepuka? Hakika mwanamke akikutana na mme wake kwa wiki kama mara nne. Si rahisi kwa Mume kuchepuka hovyo.
Hahahahahaha!Bora we unachepuka afu unamuacha,
Mi nafukuzia mbali hukooo
Usipende kuita wake za watu humuMtu upo nae faragha anaanza kukwambia marejesho ya mkopo,mara sijui vikoba mara ana mchezo anacheza sijui unamfanyaje
Cc Hajar hivi umepita hapa?? Nione comment yako
Mke wako ni ukiwa nae chumbani. Sawa kijana!Usipende kuita wake za watu humu
Nipo nae chumbani hata hivyoMke wako ni ukiwa nae chumbani. Sawa kijana!
HahahahahahaNipo nae chumbani hata hivyo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kesho kutwa tumba linauma, haya bhana
Dawa ni kumpandisha mke cheo kwa kumwita Bi. Mkubwa na kumtafutia Bi. Mdogo.Pole kwa kupigwa kalenda ya nguvu mkuu!
Nimependa mchango wako ila nna swali dogo la nyongeza.Kama kuna ambalo hajapenda si amwambie nijibadilishe?Kama mwanaume anaona yupo sahihi na bibie hasemi kama haridhiki na badala yake anasema kichwa/tumbo linamuuma huyu mwanaume uvumilivu utamshinda tuu na kama hana hofu ya Mungu ataangalia pembeni.Nakwambia mimi ni mwanamke..... Nikuulize kitu..... Mkeo unamuandaa kisaikolojia na kimatendo? Au unafanya kumvamia dakika 5 - 7 umemaliza ..... unakoroma?
Haki....Kama ni kwa dizaini hii tumbo haliwezi kuacha kuuma kila siku maana unachofanya hapo ni kumchafua pekee. Anachoka. Anajiona uvivu tuu.
Tabu kweli kweli.Pole kwa kupigwa kalenda ya nguvu mkuu!
Walio na wake hawasemagi.Nipo nae chumbani hata hivyo
Yap! Umeona eeeh!Mwanaume ana takiwa kuchepuka ili kukamilisha TORATI