Mke ananichapa...

Hehehee huyo mkeo au mama ako??mambo mengine mnajitakia wenyewe sasa kama huyo mwanaume kwenye pic mwili wake mdogo then anaoa pande la mwanamke anategemea nini?lol! Sometimes muwe mnaangalia miili ya kuoa jamani..

wanakuwa hivyo tukishaweka ndani, before wanakuwaga potabo wazuri tu
 
Mwambie mwanamme hupigwa kwa shati zuri sio kwa fimbo. Hajasikia kuwa mwanamke hupingwa kwa upande wa kanga?
 
Back
Top Bottom