Dawa ni kumuua mtoto tu.. be like a lion
mhh inatokeaga lakin
bt r u sure afanyi mpango wa kando? if yes basi ni mapito tu...NI KM KUPOTEZA APETITE VILE THEN AFTA MUDA INARUD TENA....pole broo
Mkuu embu penda kwanza kumchezea chezea manake kuomba tu game nakupanda kifuani sio ishu sana.Ukianza kumchezea chezea hata kama hana hamu utashanga milango inafunguka halafu watu hao
Habari za leo, natumaini mpo poa.
tatizo linalonikabili ni kuwa mwezi sasa, game halichezwi kabisa kisa ni kwamba hajisikiii kabisaaa kufanya tendo hilo,
kwa ufupi anasema anaona kama kero flani hivi. Ni tatizo gani na ufumbuzi wake ni upi?
msaada please kuokoa ndoa.
Mmmh, mwezi mzima? Hiyo ni abnormal, huwa inaweza ikatokea labda kwa wiki or siku kadhaa na hiyo huwa inaweza kumpata yeyote wewe au yeye, but siyo mwezi mzima. Labda una mashine kubwa sana anaona inamuumiza? Or huwa humridhishi, kwa hiyo anajaribu kuepuka kero ya mateso anayoyapata baada ya wewe kumaliza na kumwacha yeye njiani?
Mkuu embu penda kwanza kumchezea chezea manake kuomba tu game nakupanda kifuani sio ishu sana.Ukianza kumchezea chezea hata kama hana hamu utashanga milango inafunguka halafu watu hao
Je huwa ana mamatizo ya Hormones au huenda ndo yanamnyemelea? Nawe huwa unamuandaa vya kutosha isije ikawa ni kama wataka kubaka, badili mazingira japo kwa wiki mara moja yaani mtoke mkalale hoteli, na pia muwe mna maozea ya kubadili position ya kitanda pia huleta hamasa chumbani. Kama vp atumie Misky!:lol:
je, anamarafiki anaoongea nao? anafuraha nyumbani au hana? kama hana katika hayo niliyokuuliza anaweza kuwa na depression. dalili mojawapo ni kutokuwa na libido (hamu ya sex). jaribu kumpeleka kwa psychatrician amchunguze:A S-fire1:Habari za leo, natumaini mpo poa.
tatizo linalonikabili ni kuwa mwezi sasa, game halichezwi kabisa kisa ni kwamba hajisikiii kabisaaa kufanya tendo hilo,
kwa ufupi anasema anaona kama kero flani hivi. Ni tatizo gani na ufumbuzi wake ni upi?
msaada please kuokoa ndoa.
jaribu kuwa msafi sana, kama unavuta sigara acha, kama mlevia acha, kama hujui maandalizi nenda shule!!
Asante Bichau, nadhani hizi mbinu mbadala labda zitamrudisha mahala pake, nashukuru kwa wazo lako ntalifanyia kazi.Misky ina kazi gani? ni marashi?