Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
Ni mzinzi huyo na keshajua udhaifu wako ulipo (si lazima wa ngono). Be a man now otherwise ataitawala nyumba na kuchukua nafasi yako. Pia jaribu kumwacha kwa muda usifanye nae ngono ila uwe rafiki tu. usimfuatilie na usionyeshe kumtetemekea kama ilivyo sasa utaweza gundua kitu.