Mke amfuma mumewe akijichua

Mke amfuma mumewe akijichua

Tatizo lipo kwa mdada huenda hawez majambozi anamchosha tu kwa bed, pia tatizo kwa jamaa kuendekeza picha za x na kuathirika nayo
 
Hiyo inanikumbusha kipindi ndio nipo kwny balehe mama alinikuta nafanya hiyo kitu.....weeeeeeh!!! Nilipokea kipigo cha maana sana, tangu hapo ckuwahi kuiwazia tena hiyo mambo

Naona galadudu ulipashwa ukatoe darasa la namna ulivyoacha
 
Aiseee hiyo kweli kali

Mwanadada alijinasibu katikati ya kilio kwamba hata cku moja hajawahi kutoa udhuru pindi mume wake akihitaji mambo, labda itokee ktk zile siku ambazo anakuwa "mwana anga" na akaenda mbali zaidi kwa kusema kwamba hakuwa na sehemu maalumu ya kumpa,

ilikuwa hata wakienda kuoga japo bafu ni la public lazima ampe cha chap chap kama alivyoshauri jana Zinduna
 
Last edited by a moderator:
Understandably mwanamke kumkuta mumewe anaji-raha sio nzuri kabisa na hasira ni mahali pake

Ila kwa reaction hiyo ya kusababisha mpaka majirani waje ni kielelezo tosha huyo mwanamke ni wa namna gani..na tunaweza tusione connected lakini naamini kwa tabia zake ndio maana mumewe hataki kumpanda na kwa kuwa mume hataki kuchepuka basi anamaliza mwenyewe

My guess mwanamke ananuka mwili na ananuka tabia
 
Labda mke ana tabia ya kumpa mumewe kwa masharti magumu sana. Jamaa kaona isiwe tabu kaa nayo mwenyewe.
 
Dada hakujua yeye ndiye ataonekana anatatizo,mume akuache kitandani akasugue mkono aiseee lazima kuna shida kubwa na jamaa yawezekana kajaribu kutatua imeshindikana kaona aanze punyeto baada ya hapo ni mchepuko huru.
 
ndo mjue athari za hizo picha za ngono mume wangu unaanzaje kupiga nyeto na nipo beside na ww mh ipo namna

Wanawake wamezidi kutunyanyasa na papuchi zao, yaani ili upewe mzigo siku nzima lazima useme ndio kwa kila anachosema!To hell, bora kujikunja na kujihudumia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom