Mke amfuma mumewe akijichua

Mke amfuma mumewe akijichua

hahhahahahahaaaa...... hujajua utamu wa punyeto wewe......na kwa mwanaume wala sio ajabu.... alitakiwa aingilie mchezo palepale, sio kupiga kellele kama jamaa karuka ukuta......eti punyeto waipigia nduru.....nahisi huyo demu jamaa kamuoa coz of muonekano....ila hana utamu.... ajipange upya.....kuacha ile kitu inahitaji ujasiri uliotukuka.....
 
Kama mnanyanyaswa niwapi mlisema mkachukuliwa hatua asee,huyo mke ana kwao sitaki kuamini kama umemtoa juu y a mti umemtoa kwao kwa wazazi wake nenda kashtaki unayofanyiwa na mkeo ili wazaz wajue nini wafanye kuweka halis awa kwenye ndoa yako ila huku kulalama tu kua mnanyanyaswa hamtopata msaada.

dah!sitaki ku imagine nimeenda kwa wakwe nalalamika eti wife hanipi ''mchele''!! hii ngumu sana aisee!
 
Weeeeh......alinishitukiza na booooonge ya gumi la mgongo nikapepesuka, kabla akili haijarudi vizur....ghafla huyu hapa mbele yangu (maza alikuwaga kama komando vile) alinipa kipigo mchanganyiko, maana hakuwa amejiandaa kuja na fimbo kwa hiyo alikuwa ananipiga vichwa vya kushtukiza , ngumi, vipepsi huku akichombeza kwa mitama ya hapa na pale...... Joto ya jiwe niliipata cku hiyo

hahahahahaha.............nimevuta taswira na hasira aliokua nayo sasa!
kama bi mkubwa wangu,ye hadi mateke nilichezea aisee!!..alikua bandidu ile ile!afu leo ndio yuko mstari wa mbele eti '' msipige watoto nyie''..mi namtazama tu nachekea pembeni!
 
Au inawezekana demu ana Rambo jamaa ana muwa!!!Inapwelepweta!!!😜😜😜😜😜
 
hahahahahaha.............nimevuta taswira na hasira aliokua nayo sasa!
kama bi mkubwa wangu,ye hadi mateke nilichezea aisee!!..alikua bandidu ile ile!afu leo ndio yuko mstari wa mbele eti '' msipige watoto nyie''..mi namtazama tu nachekea pembeni!

Hata bi mkubwa wangu kabla hajatangulia mbele za haki hiyo ndio ilikuwa kauli mbiu yake 'jamani sitaki muwakoseshe raha hawa watoto tucje korofishana bure'
 
Back
Top Bottom