Mke amenenepa baada tu ya kumuoa

Mke amenenepa baada tu ya kumuoa

Hapo chini hayo masimango sasa kwani kwao aliua hali?

Kusema kweli nyie wadada huwa mnajisahau, sio mwili tu wengine hata mambo ya usafi wanaweka pembeni, unaweza ukakuta anamtoto ananuka mikojo mpaka basi na yeye mwenyewe michirizi ya maziwa tu na ukichanganyia jinsi alivyo futuka hata hamu ya kuijaza nchi inaisha.
 
si uongee nae!!...kiutaratibu lkn sio unamwambia unanepeana tu hapa..loh..kma vpi muanze gym pamoja,au mlipie aanze,kitu na clean 9,uportable mbona utarudi fastaaa
 
ongea nae mwambie unachopenda kuja kumsema mkeo huku kwa lugha kali hivyo haisaidii! eti kumgegeda kwa staili yoyote kwani ulimuoa kwa ajili ya ngono tu!
 
Watanzania wakataa shirikisho Afrika Mashariki
*Asilimia 76 hawataki liwepo kabisa
*Kikwete asema maoni hayo yataheshimiwa

Na Ramadhan Semtawa

KAMATI ya kukusanya maoni kuhusu uharakishwaji (fast tracking) wa uanzishwaji wa Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki, imewasilisha ripoti yake kwa Rais Jakaya Kikwete, huku asilimia 75.9 ya Watanzania, wakipinga mpango huo.

Ripoti hiyo inaonyesha jinamizi la kero za muungano bado linaitafuna Tanzania, kwani idadi hiyo iliyopinga, imetaka kwanza kero hizo zitatuliwe kabla ya kukimbilia kwenye shirikisho.

Wakati hao wakipinga baada ya kuulizwa, wengine asilimia 3.3, bila ya kuulizwa, walituma maoni yao kukataa kabisa kuwepo kwa shirikisho hilo.

Akiwasilisha ripoti hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati ya kukusanya maoni kuhusu mpango huo, Profesa Samwel Wangwe, alisema asilimia 20.8, waliunga mkono mpango huo kasi.

Katika ripoti hiyo, inaelezwa kuwa jumla ya Watanzania 65,000 walipata fursa ya kutoa maoni yao katika mikoa na wilaya zote, ambazo kamati ilifika.

Ripoti hiyo ambayo imegawanyika katika vitabu viwili pamoja na mkanda wa video, imegawanwa katika makundi mawili ambayo ni kisiasa na jamii.

Inaeleza kwamba Watanzania waliopinga shirikisho wamekuwa na sababu mbalimbali, ambazo moja ni ya kisiasa, kwamba hawalifahamu shirikisho hilo.

Sababu nyingine ni pamoja na demokrasi na utawala bora, ambapo Watanzania wana shaka kama vitu hivyo viwili vipo katika nchi nyingine.

Watanzania hao pia wameangalia suala la ulinzi, usalama na amani na tofauti za kiitikadi na pia walipinga kutokana na tofauti ya maendeleo ya kiuchumi kati ya nchi hizo na Tanzania hasa kulinganisha na Kenya.

Sababu nyingine ni kutaka kwanza, Tanzania itatue kero zake za muungano na Zanzibar kwani hadi sasa hazijamalizwa.

Akizungumza sababu za kuchelewa kuwasilisha ripoti hiyo, Profesa Wangwe, alisema kamati ilichukua maoni kwa njia mbalimbali ambazo ni pamoja na vyombo vya habari, kujaza dodoso na mtandao wa kompyuta kwa ajili ya kuwezesha hata Watanzania walio nje kupiga kura.

Rais Kikwete akizungumzia suala hilo, alisema maoni hayo ya Watanzania yataheshimiwa.

Alisema ingekuwa ni tatizo kama Watanzania hao wangesema hawataki shirikisho, lakini kwa kuwa hawataki liharakishwe, yeye haoni kama ni tatizo.

Rais Kikwete alisema ripoti hiyo itapelekwa katika ngazi ya Baraza la Mawaziri, ili ifanyiwe kazi na kisha kupelekwa katika wizara husika ya Afrika Mashariki kwa ajili ya kuendelea na mchakato.

Kama maoni hayo yatazingatiwa, mchakato wa kuundwa kwa shirikisho utakwenda kama ilivyoelezwa katika mkataba wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Tayari hadi sasa nchi za EAC, zimeanza kutumia mfumo mmoja wa forodha (Customs Union), huku makubaliano mengine kama soko la pamoja (Common Market), sarafu ya pamoja (Monetary Union) na shirikisho la kisiasa (Political Federation) yakiwa bado hayajakamilika.

Tume hiyo ilianza kazi yake Oktoba 13 mwaka jana na imekabidhi ripoti yake Julai 13, ikiwa ni zaidi ya miezi sita imepita tangu ripoti hiyo ilipotakiwa kuwasilishwa.

Hii ndo shida ya kutamani bila kupenda kwa moyo wako wote vinginevyo usingekuja kuandika hapa.
Na unapooa utegemee mengi na kukubaliana na mabadiliko hapo hajazaa akizaa utatafuta majenereta
 
umefanya juhudi gani za kumfanya arudi umbo lake la zaman? Au ndio juhudi za kumlisha na kuja kumsimanga Jf,mwambie mkeo unapenda aonekane vipi.
 
nipe mimi najua kuyakamua hayo mabonge nyanya. niwekee na picha isije kuwa uvivu wako tu.
 
Wana MMU,

Katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.

Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.

Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.

Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?

Masimango ya nini sasa? Watu wapo wapo, watoe diet arudi kwenye hali ya kawaida. Wanaume wengine bwana, kauli ZERO.
 
nyie ndo walewale malimbukeni.hapo c ajb mkigombana unamwambia,nenda huko.ulikuja kwangu umekonda sasa hv umenenepa unaleta jeuri'inahusu nn?
 
Sasa si umwambie huyo mkeo??? Unakuja kulia lia hapa sisi ndo tutampunguza huo ukifutu wake???
 
Wana MMU,

Katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.

Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.

Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.

Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?
mbona wenzio wanafurahi wanapooa halafu mke akanenepa? mpeleke jeem afanye mazoezi kila siku asubuhi na jioni atapungua fasta, ila mlo nao apunguze asubuhi supu chapati za uhakika, mchana matunda tu ya kutosha, jioni mlo wa wastani, pia atumie maji ya moto badala ya maji ya baridi atapungua na utatuambia unless ni mbishi. Ila huyo ni mkeo mpende tu, muongee unachokitaka then fanya kama nilivyokuambia utaona matokeo!
 
Back
Top Bottom