Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
Aaah!sure wanawake wa ck hz (sio wote) wamezidi,wanakula kula hovyo hovyo kila kitu,hawajali afya ya miili yao mwisho wa siku wananenepeana tu,hawaeleweki nyuma wap wala mbele,wapo tu kama ugali.
Wanawake wanatakiwa kujali miili yao ili wavutie,kwa wenzetu unene unapgwa vita,wanawake wa tz ndo wanaona sifa.
Mkuu huyo mwanamke unamdekeza,mwambie hupend unene,akiwa mbish mpge chn,nilikua na bnt mmoja akajinenepea hovyo,nikamtishia kummwaga,mbona miez 3 tu alirudi hali yake ya zaman.mjulishe kua hupende UTIPWA TIPWA.
jombaa,hapo pekundu unajua umetukana bila kutumia matusi,mimi nimecheka kwa vile ni mwanaume,lakini nilipojiweka ktk nafasi ya mwanamke nikaweza kuhisi maumivu utakayowapatia kwa maneno yako haya,siku nyingine usiseme kweli inayouma au sema kweli ktk namna isiyouma