Mke amenenepa baada tu ya kumuoa

Mke amenenepa baada tu ya kumuoa

Eti kule marekani ME akioa KE mwembamba wakaishi kwa muda, huyo ME akimchoka mkewe humuwekea aina fulani ya virutubisho kwenye chakula, yule mwanamke hufutuka vibaya in the next 3 months. ME haraka huwai mahakamani kudai talaka kuwa hataki bonge!
 
haya malavidavi mnayotupa tuache kunenepeana...tunakula hatupumui...
by the way mwambie unataka kuoa mke wa pili hope apetite itaisha ataacha kula kula ovyo

salama classmate!??
 
Hahaa
:A S 114: umenikumbusha mbali ngoja na mm niingie kambini ni kama maneno yenyewe ndio haya
 
Kama utampenda kweli utamtengeneza,amka nae asubuhi kimbia nae,mfanye apende mazoezi hasa ya kukimbia,na misosi napo apunguze sana nyama na mafuta, ale matunda/mboga za majani sana ,maji sana,ndani ya mwezi utaona tofauti mkuu.
 
kama unampenda kweli msaidie apungue

sio kuja kumsimanga huku
 
wakati mwingine kunenepa si kula bali ni kuridhika tu, me mwenyewe mme wangu sikuhizi ananipigia kelele sana nipungue maana mwili unakuja kwa kasi, na wala si mlaji sana asubhi chai nakunywa na sambusa mbili au vibagia tu, mchana sili chochote zaidi ya mtunda na usiku nakula kidogo, na nakunywa sana maji ya moto lakini mwili ndo unakazana hata sijui nifanyaje na hapo sijazaa wala mimba sina
 
Wana MMU,

Katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.

Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.

Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.

Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?
Kwanza kabisa naona Avartar
 
Usimtafutie sababu bwana......wew baki njia kuu...
 
Aaah!sure wanawake wa ck hz (sio wote) wamezidi,wanakula kula hovyo hovyo kila kitu,hawajali afya ya miili yao mwisho wa siku wananenepeana tu,hawaeleweki nyuma wap wala mbele,wapo tu kama ugali.

Wanawake wanatakiwa kujali miili yao ili wavutie,kwa wenzetu unene unapgwa vita,wanawake wa tz ndo wanaona sifa.

Mkuu huyo mwanamke unamdekeza,mwambie hupend unene,akiwa mbish mpge chn,nilikua na bnt mmoja akajinenepea hovyo,nikamtishia kummwaga,mbona miez 3 tu alirudi hali yake ya zaman.mjulishe kua hupende UTIPWA TIPWA.
 
Wana MMU,

Katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.

Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.

Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.

Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?


Kwanza naona Avatar yalo uahusika. Ushauri: vumilia kwa muda huku ukichukua hatua kwani kunenepa sio kula tu ni zaidi ya hapo cha muhimu hayo malavidavi uliyokuwa unampa mtoto wa Mwenzio mpaka masikini akajinenepea hayohayo utumie kumsupport apungue. Kwanza mshauri muanze mazoezi ( hata kama nawe ni mwembamba fanya nae mazoezi pamoja) kwani angalizo heri yeye akiwa mnene kuliko kinyiume chake. Msupport pia kwenye kula vyakula vinavyosaidia kupungua na kwa mahaba mle wote hivyo vyakula etc, etc. Unavyosema uishije mhhhh kama kuna mawazo ya ibilisi yashindwe na yalegee haraka. Msaidie mwenzio awe kipotabo!
 
Hapo chini hayo masimango sasa kwani kwao aliua hali?

kwao alikuwa anakula ki-diet ili avutie amnase mtu wa kuoa kashampata diet ya nini tena?na kama mamisi tz wakishachukua taji wanavyojiachia,wabaki vipotable kwani wanataka kuchukua taji tena?
 
haya malavidavi mnayotupa tuache kunenepeana...tunakula hatupumui...
by the way mwambie unataka kuoa mke wa pili hope apetite itaisha ataacha kula kula ovyo
Naambiwa mwanamke ananenepa akipata frustrations (kimbilio lake ni kula) na mwanaume akipata frustrations anakonda (chakula kinakuwa kichungu). Huenda mkewe ananyanyasika, akimpa malavidavi atarudia hali yake
 
we inaonyesha akifika uzeeni utamkana kabisa kama unene tu unakupa presha! ungesimamisha mzunguko wa dunia ili abaki vilevile kama unaweza!
 
mapenzi ktk ndoa nyingi yanadhoofishwa na mambo mawili, 1.Mabadiliko hasi ya mambo yaliyokuwapo yakaleta mvuto wa kumpenda mtu na hata kuishi naye ktk ndoa. 2.Matarajio yasiyofikiwa

mfano wa mabadiliko hasi yanayosumbua sana wanawake ni kujali na upendo uliokuwapo kabla na baada ya ndoa kupotea,mfano wakati unafukuzia mitoko cinemax,dinner,unamfuata kazini na kumpeleka kwao mara umeoa visingizio kibao,hapo upendo hudhoofika kwa wanawake

wanaume wao wanasumbuliwa na mabadiliko hasi ya wanawake ktk muonekano na kauli,wakati wa uchumba hane hane na switi switi nyiingi uko ndani zimepotea,muonekano sasa,jidada limejaza kama madame b kijana kavutiwa kaweka ndani mdada unaanza kutafuta umbo la lupita nyong'o kisa kabeba oscar au kama kesi ya mtoa mada inavyojieleza

utatoa sababu utoazo kutokana na mabadiliko niliyoeleza hapo juu lakini ukweli utabaki kuwa umedhoofisha mapenzi ya mwenzako,acha ubadilike kwa kuzeeka lakini sio kwa kujiachia

hata hivyo,nitakulaumu mtoa mada kama hukumuambia toka awali kuwa unavutiwa na vipotabo,je ulimuambia kuwa upotabo ndio ugonjwa wako?
 
we inaonyesha akifika uzeeni utamkana kabisa kama unene tu unakupa presha! ungesimamisha mzunguko wa dunia ili abaki vilevile kama unaweza!

nikuulize mdau,tuseme uko kazini muda huu umemuacha mkeo nyumbani,unarudi jioni unakuta mkeo kazeeka leoleo kawa kama bi kizee wa miaka 80 utaona sawa tu?kama hautaona sawa kwani hujui kuwa atazeeka kwanini usione sawa?sababu ni kuwa UNATARAJIA ATAZEEKA baada ya muda huo kupita na sio leoleo!kwa hiyo hapa kwa mtoa mada shida sio kubadilika kwa mkewe,shida hakutarajia kaoa juzi tu leo kitu tinginya. Matarajio yetu ndio yanayoleta usumbufu ktk maisha
 
Back
Top Bottom