Mke amenenepa baada tu ya kumuoa

Mke amenenepa baada tu ya kumuoa

mkunje kwelikweli ndani ya wiki tuu atakaa sawa nawe utakua kama mnyanyua vyuma maana kazi utakayokuwa nayo ni nzito
 
haya malavidavi mnayotupa tuache kunenepeana...tunakula hatupumui...
by the way mwambie unataka kuoa mke wa pili hope apetite itaisha ataacha kula kula ovyo

Ha ha lazima apungue
 
muwekee gym ndani.. afu mpangie muda wa kula tizi... ila isijekua na wewe umejaa kitambi afu husemi
 
Cha msingi kaka kila mtanzania ni mnene alikuwa na stress before kwa sasa hana stress ndo maana kanenepa cha msingi ni kumwambia kwamba unapenda shape yake ya zamani na kujua njia ya kumsaidia kuna njia rahisi ya kumsaidia kurudisha shape unaweza kunicheki kwenye namba yangu nikusaidie kwa product za weight management za forever living my number 0717115421
 
Back
Top Bottom