KIDOLEGUMBA,
Hemu kuwa muelewa kidogo, ukisoma kichwa cha uzi utaona kuwa mleta mada ameonyesha wazi kuwa ameshtushwa na mabadiliko ya ghafla ya mke wake.
Hivyo ni tukio na muda mfupi baada tu ya kumuoa, na haikuwa na ulazima wa yeye kuweka exactly date ya lini kamuoa.
Kwa maono yangu, sio tu wanawake wanaopaswa kuwa makini na miili yao, bali hata sisi wababa tunapaswa kuhakikisha tunaendeleza miili yetu kama tulivyokutana na wenza wetu kwa kipindi kirefu kadri ya uwezo wetu.
Binafsi huu mwaka wa saba tangu nimuoe shemeji yenu lakini mpaka leo sijamchoka, bado namuona ni yule yule.
pole kaka ,ila unatakiwa kufahamu kuwa wanawake huwa wanaridhika haraka sana hata kama nyumbani hamna chakula , huwa tunajdai portable kabla ya kuolewa au kuzaa.once mwanamke anapozaa viungo vyake hutanuka kwa haraka zaid ndo mana weng hunenepa. Naamini unampenda mkeo mshauri afanye mazoezi na kupunguza mlo,atapungua kdogo kama hatarud umbo la mwanzo jua hlo ndo umbo lake na uridhike naye.wana mmu,
katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.
Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.
Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.
Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?
jamani kumbuka kunenepa mwanamke ni kawaida hasa pale aptapo mimba akijakujifungua lazima atanenepa nenepa bebamimba wewe mwanaume uone kama atanenepa
Tell her.Dinazarde;
Samahani swali si la kwangu ila limenigusa. Hivi mi nilienda kuoa kwa ajili gani ka si ngono? We waiita ngono, wataalam wanaiita; Tendo la ndoa. Yaani kwenye ndoa hiyo ni kazi ya kila siku. Haturuhusiwi kulala umevaa pichu. Huwa natamani ilale humo humo, saa sijui kazi nyingine yake ni nini. Ugali upo hotelini, kinywaji kipo mpaka madukani, nguo tun dobi, weye uliolewa kwa sababu ya nini??
Wana MMU,
Katika miaka yote ya balaa niliyowahi kupitia naona huu umechukua tuzo.
Nilijitutumua mwenyewe kumuingiza huyu bi dada ndani kwa kujiaminisha amekidhi vigezo ikiwemo umbo 'portable' ili iwe rahisi kwangu kumgegeda kwa kila namna.
Sasa yaliyonikuta ni majuto makuu - mwanamkee amefutuka na kuwa bonge kiasi cha kupoteza utamu wote, kitandani akikaa kama gogo, kugeuka tu shughuli, kiuno hakionekani yani shida tupu.
Hivi kwanini wadada uwa mnajisahau mnapoingia kwenye ndoa?! Acheni kubweteka na maakuli, hayo mambo yapo tu. Sasa hali kama hii mimi niishije?
Tyta upo? Tunaomba mwongozo huku!!