tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
Kisa kiko hivi
Mshikaji wangu kaniomba ushauri wa mawazo,kanihadithia issue nzima ilivyo,ila point ya msingi ni kwamba mkewe ameleta housegal nyumbani pasipo kumshirikisha, anasema hapafahamu kwao na huyo binti wala wazazi wake, na pia yeye jamaa hana budget ya kulipa msichana wa kazi kwa sasa kwani mambo yake hayako vizuri,hivyo anashangaa kuletewa mgeni ndani kwake asiyemtambua.
Maamuzi yake yalikua ni kumchapa makofi mkewe na amtimue huyo binti arudi kwao.
Ila mimi nimemtuliza nimemwambia yeye ajifanye mjinga kama hajui lolote linaloendelea aone mwisho wa mwezi kama ataombwa mshahara wa huyo binti ama vipi,hapo ndio afungue mdomo wake sasa.
Nyie wakuu mna ushauri gani kwenye hili suala?
Mshikaji wangu kaniomba ushauri wa mawazo,kanihadithia issue nzima ilivyo,ila point ya msingi ni kwamba mkewe ameleta housegal nyumbani pasipo kumshirikisha, anasema hapafahamu kwao na huyo binti wala wazazi wake, na pia yeye jamaa hana budget ya kulipa msichana wa kazi kwa sasa kwani mambo yake hayako vizuri,hivyo anashangaa kuletewa mgeni ndani kwake asiyemtambua.
Maamuzi yake yalikua ni kumchapa makofi mkewe na amtimue huyo binti arudi kwao.
Ila mimi nimemtuliza nimemwambia yeye ajifanye mjinga kama hajui lolote linaloendelea aone mwisho wa mwezi kama ataombwa mshahara wa huyo binti ama vipi,hapo ndio afungue mdomo wake sasa.
Nyie wakuu mna ushauri gani kwenye hili suala?