jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari ndugu zangu..
Nafupisha sana, na jamaa yangu mmoja ameoa single mama pasipo kujua baba wa mtoto wake ni nani japo mwanamke alimwambia jamaa kuwa baba mtoto bado yupo hai kijijini kwao.
Katika purukushani za maisha za jamaa kutaka kujua baba halisi ni nani, mkewe kwa huzuni kuu akamweleza kuwa baba mtoto ni kaka yake wa tumbo moja kabisa, na alibeba mimba baada ya kaka yake kumbaka porini wakati wameenda kuchota maji huku akimtishia kuwa atamwekea sumu kwenye chakula chake nyumbani amuue kama atasema kwa wazazi
Jamaa ambaye ndiye mume wake sasa , hakutaka kuamini ila aliitisha wazee wapande za mkewe na kuwaeleza ndipo akakalishwa chini na kuambiwa kwamba binti yetu ni kweli ame zaa na kaka yake kutokana na kaka yake kum-baka, na sisi alituficha mpaka mimba ilipokua kubwa kiasi cha huwezi kuitoa na ukitoa tuliona ni kuhatarisha maisha ya binti yetu
Wao kama wazee walibidi waache tuu binti yao azae mtoto ambaye baba yake mzazi ni kaka yake wa damu kabisa ,
Jamaa hajataka kuamini mpaka sasa hivi akili yake imevurugika sana kawa mlevi kupindukia na nyumbani halali tena yeye ni kushinda baa tuu.
Jamaa kaniomba ushauri ila nimekosa cha kumshauri kabisa ukizingatia tuliwakanya vijana wasioe single mama, na huyu single mama ndiyo wa aina hiyo.
Wakubwa kwa wadogo leteni ushauri wa kina ili niweze kumsaidia huyu mwamba
Nafupisha sana, na jamaa yangu mmoja ameoa single mama pasipo kujua baba wa mtoto wake ni nani japo mwanamke alimwambia jamaa kuwa baba mtoto bado yupo hai kijijini kwao.
Katika purukushani za maisha za jamaa kutaka kujua baba halisi ni nani, mkewe kwa huzuni kuu akamweleza kuwa baba mtoto ni kaka yake wa tumbo moja kabisa, na alibeba mimba baada ya kaka yake kumbaka porini wakati wameenda kuchota maji huku akimtishia kuwa atamwekea sumu kwenye chakula chake nyumbani amuue kama atasema kwa wazazi
Jamaa ambaye ndiye mume wake sasa , hakutaka kuamini ila aliitisha wazee wapande za mkewe na kuwaeleza ndipo akakalishwa chini na kuambiwa kwamba binti yetu ni kweli ame zaa na kaka yake kutokana na kaka yake kum-baka, na sisi alituficha mpaka mimba ilipokua kubwa kiasi cha huwezi kuitoa na ukitoa tuliona ni kuhatarisha maisha ya binti yetu
Wao kama wazee walibidi waache tuu binti yao azae mtoto ambaye baba yake mzazi ni kaka yake wa damu kabisa ,
Jamaa hajataka kuamini mpaka sasa hivi akili yake imevurugika sana kawa mlevi kupindukia na nyumbani halali tena yeye ni kushinda baa tuu.
Jamaa kaniomba ushauri ila nimekosa cha kumshauri kabisa ukizingatia tuliwakanya vijana wasioe single mama, na huyu single mama ndiyo wa aina hiyo.
Wakubwa kwa wadogo leteni ushauri wa kina ili niweze kumsaidia huyu mwamba