Mke ambaye hujazaa naye anastahili kuitwa na kupewa haki kama ndugu?

pureman2

JF-Expert Member
Aug 21, 2019
1,494
2,538
Natambua mke ambaye mmepata watoto kwa vyovyote vile uyo anakua ameshakua ndugu coz mmeunganisha damu za koo mbili tofauti kupitia watoto wenu.

Hapo hata ndugu zake kwa mbali unawaona ndugu na unaweza jitoa kuwasaidia Kama vile unavyotimiza majukumu kwa ndugu zako.

Vipi kwa mke ambaye hamjabahatika kupata watoto naye, Je anastahili kuchukuliwa Kama ndugu? Au atakua tu Kama life pertiner Kama walivyo mademu wengine?

Je, ana haki ya kuitwa ndugu?

Je, ndugu zake una haja ya kuwathamini Kama ndugu?

Kwangu mimi kigezo cha koo mbili kuanza kuitana na kuchukuliana Kama ndugu ni hadi pale mme na mke watakapounganisha damu kupitia watoto.

Ebu nipe mtazamo wako!
 
Zaa kwanza ndio uoe. Kama nia.yako ni kupata watoto.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Inategemea ulimuoa kwa lengo gani...
Ila vipi yule mke ambaye hana mtoto sababu mume wake hana uwezo wa kumpa mimba? Je huyo mume anastahili kuheshimiwa kama mume au mke amchkulie kama vijana tu wa mtaani
 
Mke na mme sio ndugu ni life partners, kinawachowaunganisha ni ndoa. Ndio maana mara nyingi ikitokea mmeachana kila mtu utakuta anatetewa na ndugu zake hata kama kosa lilikua lake...hata kama mmezaa, ndugu zako ni watoto wako, that's all!
 
inatagemea umetokea pande.zip mfano baathi ya waindi nimpaka azae mtoto wa kiume na baathi ya makabila lkn kwa jamii nyingi ni kuwa mmeanza kukutana nyinyi kisha watoto wanakuja baadae kwa hiyo uhusiano upo pale pale
 
Inategemea ulimuoa kwa lengo gani...
Ila vipi yule mke ambaye hana mtoto sababu mume wake hana uwezo wa kumpa mimba? Je huyo mume anastahili kuheshimiwa kama mume au mke amchkulie kama vijana tu wa mtaani
😉
 
Kutendo cha kuoa ni sawa na kumkaribisha kwenye ukoo wenu kwa hiyo huyo ni ndugu hajalishi amezaa au hajazaa nae.
 
Back
Top Bottom