Mke akiri kumsaliti mumewe miaka 7

Mke akiri kumsaliti mumewe miaka 7

ushahidi wakutungwa!Maelezo kama yule kamanda anayetetea mauaji ya mtuhumiwa mhimu katika kesi ya ugaidi.
 
Hii khabari nadhani niliisikia katika kipindi cha 'Hekaheka' za Clouds Fm. Huyo mlalamikaji alielezea vizuri tu jinsi ilivyotokea. Huyo bidada Sanifa ndie alikuwa akishurutisha waingie chumbani, kumbe alijua wanafuatiliwa. Ni dhahiri ulikuwa ni mpango na mumewe. Kilichoharibu dili ni kuwa yule mpiga picha inaelekea hakupewa mgao stahili hivyoakazirusha picha mitandaoni, aliepigwa miti nae kuona hivyo akaamua 'kama Noma na iwe Noma! ndo mambo yakafikia hapa yalipo!
 
Huyo mume wa MTU naye anapaswa kuitazama upya performance yake kwenye unyumba, LA sivyo atalawiti wengi
Kwahiyo km mwenzio performance yake iko chini ndo ukambebee kiburudisho chake kama ndo tabia yako na ww jiandae kuliwa pera bila mate .
 
Duu miaka 7 mume hakushtuka? saloon inazidi kunawiri tuu!kuna watu wanajua kuhonga yani nitoe 100000 kwa mali used!sijui labda huyu mama ana vitu adimu ktk majamboozi

Huna tu hela ww!
 
alikimbilia
nyumbani na kukuta simu aina ya Tecno nyumbani kwake na kuiweka laini yake
baadaye dada yake alimtumia picha
HAINIINGII AKILINI
 
alikimbilia
nyumbani na kukuta simu aina ya Tecno nyumbani kwake na kuiweka laini yake
baadaye dada yake alimtumia picha
HAINIINGII AKILINI

Umeona mkuu saidabby88 yaani full maigizo. Huyo Dada yake alimtumia picha toka wapi? Halafu eti kuna pikipiki ilikuwa inatufuatilia alijuaje kwamba wanafuatiliwa? Hapo shahidi kalishwa maneno
 
Last edited by a moderator:
Mumewe aliporudi nyumbani name kukuta mkewe aliyemfumania yupo nini kiliendelea
 
Huyu Mama kalishwa maneno kwani kuna walakini
huwezi kufika Guest nara hiyohiyo Mumewe naye anatokeza na wanaume wengine
mara ukiwa chooni mpenzio analawitiwa
mara Bodaboda anapiga picha kwenye Laptop
unaingiza kwenye simu ya Tecno unaoka picha mpenzio analawitiwa
kweli huyu Mama ndio afungwe wa kwanza kabisa
 
Huyu Mama kalishwa maneno kwani kuna walakini
huwezi kufika Guest nara hiyohiyo Mumewe naye anatokeza na wanaume wengine
mara ukiwa chooni mpenzio analawitiwa
mara Bodaboda anapiga picha kwenye Laptop
unaingiza kwenye simu ya Tecno unaoka picha mpenzio analawitiwa
kweli huyu Mama ndio afungwe wa kwanza kabisa

labda walikodi chumba cha selfu chenye choo ndani.
 
Mumewe aliporudi nyumbani name kukuta mkewe aliyemfumania yupo nini kiliendelea
\
Mazembe majibu wenzetu mnayo
hebu tusaidiane huyu Mama kumlemgesha Mwanamume wa watu alawitiwe na Mumewe ni uadui ? kukomoana? au uchawi
ina maana huyo Hawara alishamrudi huyo Mama au ni kweli aliomba Mkopo kwenye hiyo Taasisi akanyimwa
Maana haka kaStory ni ka zamani
na kalishatuudhi maana ni ka mchezo wa kitapeli hasa
Wafungwe WAFUNGWE
 
Hii khabari nadhani niliisikia katika kipindi cha 'Hekaheka' za Clouds Fm. Huyo mlalamikaji alielezea vizuri tu jinsi ilivyotokea. Huyo bidada Sanifa ndie alikuwa akishurutisha waingie chumbani, kumbe alijua wanafuatiliwa. Ni dhahiri ulikuwa ni mpango na mumewe. Kilichoharibu dili ni kuwa yule mpiga picha inaelekea hakupewa mgao stahili hivyoakazirusha picha mitandaoni, aliepigwa miti nae kuona hivyo akaamua 'kama Noma na iwe Noma! ndo mambo yakafikia hapa yalipo!

Ni aina ya utapeli ambao wengi wamelizwa wanaume tuwe makini
 
Back
Top Bottom