Miss Halima
Senior Member
- Aug 4, 2026
- 183
- 408
Aliyekuwa CEO Wa Death Row Records 'Suge Knight' ameithibitishia TMZ kwamba baada ya Tupac Shakur kufariki dunia, mama yake alitaka mwili wake uchomwe moto (afanyiwe cremation) haraka iwezekanavyo. Suge alisema alipata mtu wa nyumba ya kuhifadhi maiti usiku huo ili afanye zoezi hilo, lakini mtu huyo alimwambia alikuwa tayari ana shughuli nyingi kwa siku chache zijazo.
Baada ya mwili wa Tupac kuchomwa moto, Suge alidai kwamba yeye na baadhi ya marafiki wa Tupac walichukua majivu yake. Alidai walichanganya majivu hayo na bangi (marijuana) na wakaviringisha kwenye “blunt” (sigara kubwa ya bangi) kisha wakavuta.
Suge alisema walifanya hivyo kwa sababu walihisi ndiyo njia ya kumuenzi Tupac, wakidai Tupac aliwahi kusema angependa kufanyiwa hivyo.
Baada ya mwili wa Tupac kuchomwa moto, Suge alidai kwamba yeye na baadhi ya marafiki wa Tupac walichukua majivu yake. Alidai walichanganya majivu hayo na bangi (marijuana) na wakaviringisha kwenye “blunt” (sigara kubwa ya bangi) kisha wakavuta.
Suge alisema walifanya hivyo kwa sababu walihisi ndiyo njia ya kumuenzi Tupac, wakidai Tupac aliwahi kusema angependa kufanyiwa hivyo.