Mke aiombea chupi ya mumewe baada ya kuifua

bothlegs

Senior Member
Apr 14, 2009
122
48
"Naiombea chupi ya mume wangu,naitakasa kwa damu yako BABA YESU.Anapotoka katika nyumba hii,ivaliwe hapa na kuvuliwa hapa tu.Kama ataivua sehemu nyengine tofauti na hapa nyumbani ,Bwana YESU iwe kwa ajili ya kunya au kukojoa tu.
Naikabidhi ikiwa safi.Kama ataivua kinyume na nilivyoomba,basi Baba YESU mboo yake ipate ,isinyae,isidise na ipate upofu isione tundu inaloifuata."
AMEEEEEEN!
 
Tumia majina yote lakini la YESU haritakiwi kufanyiwa mzaha, Miungu wako wengi ila yesu ni mmoja. chungasana akili yako
 
Utaiombea sana pia jiombee na ww usivuliwe maana wenye jeur wameshindwa kuombea sembuse weye,

Sent from my BlackBerry 9700using Jamie's
 
Back
Top Bottom