Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
Mi naona wanachopika hapa Mrs Kharusy na farkhina ni tofauti. lols.
Ila nina uhakika vyote ni vitamu
Last edited by a moderator:
Mi naona wanachopika hapa Mrs Kharusy na farkhina ni tofauti. lols.
Shukran mamy.
weshu wadikie kishumba na unkobo
Hukumuelewa anachosema salam haigombwi meaning its ok kumsalimia TMA ila yeye ameshataarisha kibubu meaning mahari ya kuleta kwa ajili ya TMA mana yeye ana kidume cha nguvu....so taratibu wapewa tahadhari ati huyu mchumba wa watu na mama mkwe ndo huyo mkali
Mrs Kharusy mimi na Angel Nylon tutakuwa waonjaji wakuu, unajua tuna utaalam katika hilo
Mrs Kharusy mimi na Angel Nylon tutakuwa waonjaji wakuu, unajua tuna utaalam katika hilo
Asante sana Mrs...
Hukumuelewa anachosema salam haigombwi meaning its ok kumsalimia TMA ila yeye ameshataarisha kibubu meaning mahari ya kuleta kwa ajili ya TMA mana yeye ana kidume cha nguvu....so taratibu wapewa tahadhari ati huyu mchumba wa watu na mama mkwe ndo huyo mkali
Mhhhhh!!!! ahsante kwa ufafanuzi naona kutakuwa na patashika na nguo kuchanika na kibubu kipi kitakuwa kimeshiba kupita kiasi Honger Mrs Kharusy naona speed yako si ya kawaida