Estone
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 604
- 612
Ni kweli ushoga ni kosa, je ni makosa mangapi umeshudia watu wakitajwatajwa hovyo? Kuvunja katiba ni kosa kisheria, kuua watu ni kosa kisheria, kuteka ni kosa kisheria, kukwepa kodi ni kosa kisheria, kufoji ni kosa kisheria, kuvunja mikataba ni kosa kisheria kusingizia ni kosa kisheria, je haya mengine hayana madhara isipokuwa ushoga?Ushoga ni kosa kwa mujibu wa sheria za nchi. Anayejihusisha
nao ni muhalifu kama wahalifu wengine.
Tume ziundwe hata kwa mambo ambayo husababisha kupoteza uhai.
Wengine wanadhani eti maadiko yanakataza na ni laana tusidanganyike; wizi,uasherati, uuwaji, uchawi uwabudu sanamu kutoheshimu wazazi nk zote huleta laana na tunaziona hapa nchini siyo kwasababu ya ushoga tu?